Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Nadhani watu wametofautiana tafsiri ya huo uchapakazi. Unachokiona wewe ni sahihi kwa mwingine ni tofautiTuwe na moyo na utamaduni wa kuwatia moyo na kuwapongeza viongozi na watu wanaofanya kazi vizuri katika kututumikia watanzania.maana wachapa kazi aina ya Mh Makonda ni wachache sana .hivyo hawa wachache hatuna budi kuwaunga mkono.
Ila lucas una consistence yani hadi tone na maandishi ni yale yale ukiwa unajibu comments, CCM wakuone maana umeuvaa uhusika hadi uhusika nao umekuvaa