Paul Makonda kuitetemesha na kuitikisa mikoa kumi mfululizo bila kupumzika

Mimi ni msema kweli tu ndugu yangu.
Jipige kifua chako mara tatu, na kutamka, "mimi nimekuwa punguani. Njaa imenifanya niwe punguani. Nimeamua kuwa mnafiki kiasi cha kupoteza ubinadamu wangu kwa sababu ya njaa inayosababishwa na uvivu wangu. Ndugu zangu nisaidieni maana uwezo wangu umefikia ukomo"
 
Labda akutetemeshe wewe na mabwege wenzako waabudu wanaadamu wenzenu kwa tamaa ya vyeo na madaraka.
 
Kibaraka asiyelipwa.
Wenzie wako mezani wanakula yeye Yuko chini ya meza anasubiri mifupa.
Kwani hujui watu wanapokula mezani wanaweza kuwa wametulia, LAKINI mbwa ambaye yupo pembeni akisikia harufu ya vinono, huwa anahangaika na kutikisa mkia ili walaji wa nyama wamwone na kumrushia mifupa? Mwashambwa anatikisa mkia, ndiyo maana kila mara anarusha kanamba kake ka simuili arushiwe hata mifupa maana anaisikia halafu ya chakula ambacho binadamu wanakula yeye akiwa mbali na meza ya chakula, huku akiamini masazo ya chakula yanaweza kurushwa kwenye jalala lililo karibu naye.
 
Sina njaa ya chakula wala ya chochote kile wala kuhitaji malipo kama unavyofikiria wewe
 
Aina yako ya uandishi, sehemu zenye ccm ukiweka chadema na sehemu zenye samia, makonda n.k ukiweka Mbowe, Lissu n.k bc huwezi kutofautisha na uandishi wa Erythrocyte

Aisee!! Umemtukana sana Erythrocyte.

Ni aheri mtu akutukane tusi jingine lolote kuliko akuambie una akili na unafiki kama Mwashambwa.
 
Aisee!! Umemtukana sana Erythrocyte.

Ni aheri mtu akutukane tusi jingine lolote kuliko akuambie una akili na unafiki kama Mwashambwa.
Siyo kila mtu ni mnafiki kama ulivyo wewe.
 
Mimi sina njaa hata kidogo ndugu yangu.mimi ni mkulima na nina kula kwa jasho langu mwenyewe na siyo kulishwa au kutegemea misaada
 
Ndege za NATO hazikuteja nankutawala anga la libya? Sasa kwa akili yako kisoda NATO ni akina nani?
 
kina mbowe watajuta kua wapinzani walah
si kwa uchapaji kwazi huu uliotukuka wa chama cha mapinduzi
Mbowe anatamani kuhamia CCM ila anataka mpaka ahakikishe CHADEMA inabakia mifupa mitupu kwa kuinyonya huku manyumbu wake wasiojitambua wakiendelea kupiga makofi na kushangilia kama mahayawani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…