Paul Makonda kuitetemesha na kuitikisa mikoa kumi mfululizo bila kupumzika

Kweli wanatujali, mtaani kwangu umeme hakuna kuna dogo hapa ni jirani ana saloon kakosa buku ya kupata breakfast
 
Bro acha ujinga basi unajizima data. Haya majizi yana uchungu na nani labda na matumbo ya na watoto wao. Kwa ufisadi na dili wanazopiga tu wakipumzika mwaka 1 tu nchi itasogea ile wako busy usiku na mchana.
 
Bro acha ujinga basi unajizima data. Haya majizi yana uchungu na nani labda na matumbo ya na watoto wao. Kwa ufisadi na dili wanazopiga tu wakipumzika mwaka 1 tu nchi itasogea ile wako busy usiku na mchana.
CCM na Serikali yake ndio mlinzi wa mali na rasilimali za Taifa letu anayeaminika na kila mtanzania mzalendo.matapeli yapo huko CHADEMA ambako wanatafuna hadi michango ya watu.
 
CCM na Serikali yake ndio mlinzi wa mali na rasilimali za Taifa letu anayeaminika na kila mtanzania mzalendo.matapeli yapo huko CHADEMA ambako wanatafuna hadi michango ya watu.
ULAANIWE WEWE NA KIZAZI CHAKO KWA KUTETEA WATU AMBAO WANATUUMIZA....popote utakapotembea sauti za manung'uniko juu ya shida ambazo wananchi wanazipata ziwe ndani ya nafsi yako.
 
ULAANIWE WEWE NA KIZAZI CHAKO KWA KUTETEA WATU AMBAO WANATUUMIZA....popote utakapotembea sauti za manung'uniko juu ya shida ambazo wananchi wanazipata ziwe ndani ya nafsi yako.
Fanya kazi na timiza wajibu wako na siyo kutaka majukumu na wajibu wako katika maisha ubebwe na mtu mwingine. Mafanikio yako yapo katika mikono yako mwenyewe.
 
Labda atetemeshe kalio.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Simba wa Serengeti.

Kipenzi cha watanzania.

Jamaa linapendwa sana hili halafu amekaa kimamlaka ukimuona tu unajua yes huyu kiongozi..


Itoshe kusema jamaa ana nyota ya uongozi.
Siku moja huyu jamaa atakuja kuwa Rais wa nchi hii nipo nimekaa pale.

# Makonda mbele kwa mbele
 
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

Naona unazidi kuboresha utambulisho tu huku mikeka ikiendelea kukupita.

Tatizo uchawa unaufanyia kijijini huko na connection huna. Stuka acha ushamba, uchawa unalipa mjini si vijijini huko. Huwaoni chawa wenzio akina baba revo, mwijaku nk?

Unategemea connection za teuzi ufanyiwe na katibu wa sisiemu ngazi ya tawi au kata? Utajitambulisha hadi mtoto wa Yesu na bado utazeekea uchawani, shauri yako.

Hao akina bashite wafuate hukohuko mjini tafuta connection wakupe hata kinarua cha kuwabebea mabegi uwe busy uepuke kujidhalilisha humu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena kweli kabisa.Mheshimiwa akisimama jukwaani hata popote pale na kuzungumza unaona kuwa ni kiongozi kasimama kuzungumza .
 
Labda wenye akili timamu wote tukishafariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…