Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hili ni jizi sawa na mwendazake aliyeiba fedha na kujenga kwao Chato jambo ambalo linafanyika Kizinkazi kwa sasa.Huo ubunifu wake wa kupata hela ulianza tu kipindi cha Jiwe ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni jizi sawa na mwendazake aliyeiba fedha na kujenga kwao Chato jambo ambalo linafanyika Kizinkazi kwa sasa.Huo ubunifu wake wa kupata hela ulianza tu kipindi cha Jiwe ?
Labda anafaa kuwa mumeoAnatufaa 2025
Makonda kamjengea Baba yake nyumba hapo Mwanza tokea 2012 huko akiwa mkuu wa wilaya!Huo ubunifu wake wa kupata hela ulianza tu kipindi cha Jiwe ?
Labda anafaa kuwa mumeoYeah Binafsi naona baada ya mama Makonda anatosha kua raisi
Hapo sasa yaani yaani katidharau sasa watanzania hata GSM kabla hawajagombana alikuwa chakula chakeHata kama huna akili kabisa huwezi kutoa wazo la HOVYO kama hili.
Makonda alikuwa hawara ya Sitta tu, hakuna zaidi ya hilo. Yaani mwaka 2030 Tanzania itawaliwe na shoga?
Mwaka 20230, atakuwa bado yupo hai kweli?Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Mkiwa kitandani labdaMakonda anaupiga Mwingi
Anawafaa kwenye nini?Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Kumbe hata GSM alikwisha mpumulia kisogoni?Hapo sasa yaani yaani katidharau sasa watanzania hata GSM kabla hawajagombana alikuwa chakula chake
Maneno haya si mageni mjini,ongeza mengine tena 😀Mkiwa kitandani labda
Watanzania wanaongoza Afrika kwa ujinga.Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Akili za kuvukia barabara!Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Ndugu yangu! WaTanganyika kimsingi hawajui wanachotaka!Watanzania wanaongoza Afrika kwa ujinga.
Kwamba wapo level 1😀😀Kweli ni mbunifu lakini kuwa rais mmh hapana. Basi hata mwijaku anafaa kuwa rais, ubunifu wake upo wazi
Hapana bana..bashite ana uafadhali mkubwa. Awe kiongozi lakini sio raisKwamba wapo level 1😀😀