Paul Makonda mbali na mapungufu yote ya kibinadamu huyu ni kiongozi mbunifu sana, anatufaa 2030 awe Rais

Paul Makonda mbali na mapungufu yote ya kibinadamu huyu ni kiongozi mbunifu sana, anatufaa 2030 awe Rais

Hao ambao sio mashoga wamebuni nini?
Ambao siyo mashoga hawa hapa wanaangalia msambwanda wa shoga

Screenshot_20241118_204739_WhatsApp.jpg
 
Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.

Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.

Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.

Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.

1.Ni kiongozi mbunifu

2.Ni kiongozi mwenye msimamo

3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu

4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Anaweza kuwa na sifa nyingine ulizozitaja, lakini hafai kuwa rais, hasa kwa katiba hii mbovu. Ni mtu muovu kwa tabia.
 
Paul Makonda ni kiongozi wa aina yake katika zama zetu.

Wanaomchukia basi ni kwa sababu zao zingine wanazozijua wenyewe lakini sisi tutamhukumu kwa utendaji wake, na hakika kazi anaiweza.

Pia ifahamike wapo watu wanamchukia Makonda kwa sababu za urithi tu, kwa vile kiongozi fulani wa upinzani hampendi Makonda basi naye hana budi kufuata.
 
Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230
Wewe utakuwa ni 'Gabeji' kwelikweli.
Hata hivyo sina tatizo wewe na huyo 'Gabeji' mwenzio kwa hiyo mipango yenu ya 20230!

Makonda/Bashite ni takataka kwelikweli, licha ya kuwa takataka hatarishi sana kwa uhai wa watu.
Bado atatakiwa kueleza Ben Saanane alipo. Huyu siku moja sheria itamkamata tu kwa matendo yake maovu.
 
Na tukumbuke hakuna mkamirifu
"...hakuna mkamilifu" ndipo tukazoe hata takataka kama huyu. Nyinyi watu, vichwani mnazo akili za kutosha? Mtu mwenyewe mwigizaji, tapeli na mwovu, mtoa roho za watu; leo mnakuja hapa kutaka kusafisha takataka ili iwe nini?

Kwenda kumzaba vibao Mzee Warioba, ndio "ubunifu" huo ulio mwinua hadi hapo alipo sasa! Historia yake ya udanganyifu, kwenu haina maana yoyote? Bashite ni nani?
Sita shangaa kama nanyi ni matapeli kama yeye, ndiyo maana tabia hizo haziwastui hata kidogo.
Huyo mtu wenu anasubiriwa na jela, au hata shimo la futi sita kwa maovu aliyo kwisha yafanya.
 
Paul Makonda ni kiongozi wa aina yake katika zama zetu.

Wanaomchukia basi ni kwa sababu zao zingine wanazozijua wenyewe lakini sisi tutamhukumu kwa utendaji wake, na hakika kazi anaiweza.

Pia ifahamike wapo watu wanamchukia Makonda kwa sababu za urithi tu, kwa vile kiongozi fulani wa upinzani hampendi Makonda basi naye hana budi kufuata.
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
 
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
Mbona huendi mahakamani wewe nyumbu?
 
Paul Makonda ni kiongozi wa aina yake katika zama zetu.

Wanaomchukia basi ni kwa sababu zao zingine wanazozijua wenyewe lakini sisi tutamhukumu kwa utendaji wake, na hakika kazi anaiweza.

Pia ifahamike wapo watu wanamchukia Makonda kwa sababu za urithi tu, kwa vile kiongozi fulani wa upinzani hampendi Makonda basi naye hana budi kufuata.
Ni Kiongozi mzuri kwa Nchi isiyofuata utawala wa sheria. Labda abadilike lakini kwa sasa anafanya mambo tofauti na utaratibu wa kisheria unavyotaka mfano kuna matumizi ya fedha ambayo hayaeleweki anapata wapi, sehemu nyingine ingeonekana ni utakatishaji wa fedha. Kuwa na utajiri usiowiana na kipato chake.
 
Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.

Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.

Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.

Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.

1.Ni kiongozi mbunifu

2.Ni kiongozi mwenye msimamo

3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu

4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Mwambie agombee 2025. Kwanini asubiri 2030? Anajua yatakayojiri?
 
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
Mbona hakamatwi ? Shida nn
 
Wewe tulia mwakani utakapomuona Waziri Mkuu wako utapagawa na hautalala kamwe!
Hata wendawazimu huwa wanaota ndoto, ila ndoto zao zinafanana na uwendawazimu wao..

Huyo ndugu yako hapati hata uwaziri. Alipofukia ni zaidi ya uwezo wa akili yake. Akatafute ukuu wa makundi ya mauaji, maana ndiyo kazi anayoijua huyo shetani muuaji.
 
Mbona hakamatwi ? Shida nn
Ni kwa sababu, kwa sasa wafanya maamuzi nao ni waovu. Siku serikali itakaposĥikwa na watu wema, huyu shetani lazima asimame mahakamani kujibu uovu wake.
 
Back
Top Bottom