Mifi kumuniooAcha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?
Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.
Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
Haya Mama kigani wa kambaAcha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?
Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.
Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
akihitimisha vizur na kwa wakati kazi maalum Arusha, ataelekea Mwanza na hatimae kumalizia Dar es Salaam ambako ndio haswa ilikua lengo 🐒Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Makonda ni self destruction machine, sijui ni laana za watu. Alifit kwa Magufuli peke yale maana wanaendana ujinga wao.
Mwamba si alikuwa jiwe?Mwamba ni mwamba tu.kama una chuki zako binafsi basi nakwambia ya kuwa utakufa kwa presha mwaka huu maana unakwenda kumsikia Makonda akiteka anga la siasa za Tanzania na vyombo vyote vya habari kila uchwao kwa habari njema za maendeleo .
Watu wa Arusha wamebubujikwa na machoji ya furaha baada ya kumpokea kiongozi shupavu na shujaa makonda.😎Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?
Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.
Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
EAcha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?
Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.
Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .