Paul Makonda ni wazi hatadumu Arusha

Paul Makonda ni wazi hatadumu Arusha

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 7!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
 
Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?

Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.

Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
 
Usishindane na aliye barikiwa na kupewa kibali na Mwenyezi Mungu,usishindane na aliyepakwa mafuta na Mungu wenyewe,usishindane na aliyeinuliwa na Mkono wa Mungu,usishindane na nyota na nuru iliyowashwa na Mungu.huwezi ukazima wala kufifisha nyota ya Makonda.huwezi kwamwe kumshusha Mwamba Makonda kwa chuki zako binafsi na roho mbaya.

Wapi wengi sana waliomtabiria mabaya lakini kwa bahati mbaya wote walishapotea katika ulingo wa siasa na kumuacha Mwamba Makonda akichanja mbuga na kutawala na kuteka mioyo ya watanzania
 
Mwamba Makonda ni mpango wa Mungu Mwenyewe kuwepo hapo,ni kusudi la Mungu kumuinua na kumpa mbawa,ni Mungu mwenyewe ndiye aliye ndani yake na kumuongoza.Mungu asema akiwa ndani yako nawe ukawa ndani yake basi hutaingia kamwe gizani.
 
Mwamba Makonda ataendelea kuchanja mbuga katika nafasi mbalimbali za kiuongozi katika Taifa letu.ni nyota ya matumaini na ni tumaini la mamilioni ya watanzania.kazi yake ni kuwatumikia watanzania kwa unyenyekevu na upendo mkubwa sana .katika hilo hana uoga wala hofu ya kumuogopa mtu.
 
Mwamba ni mwamba tu.kama una chuki zako binafsi basi nakwambia ya kuwa utakufa kwa presha mwaka huu maana unakwenda kumsikia Makonda akiteka anga la siasa za Tanzania na vyombo vyote vya habari kila uchwao kwa habari njema za maendeleo .
 
Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?

Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.

Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
Mifi kumunioo
 
Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?

Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.

Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
Haya Mama kigani wa kamba
 
Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
akihitimisha vizur na kwa wakati kazi maalum Arusha, ataelekea Mwanza na hatimae kumalizia Dar es Salaam ambako ndio haswa ilikua lengo 🐒
 
Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.


Makonda ni self destruction machine, sijui ni laana za watu. Alifit kwa Magufuli peke yake maana wanaendana ujinga wao.
 
Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.

Maguguli alimwamini sana Makonda mwanzoni, lakini baadaye alimtosa na kuachana naye.

Sasa, Samia - ganda la jana la muwa chungu kaona kivuno!!

Unaweza kumfuga fisi ukampa nyama kila siku, na ukaamini kuwa fisi sasa amestaarabika kwa vile hashambulii mifugo yako. Lakini siku akamkosa mbuzi, jua wanao na mifugo yako yote, hawapo salama.
 
Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?

Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.

Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
Watu wa Arusha wamebubujikwa na machoji ya furaha baada ya kumpokea kiongozi shupavu na shujaa makonda.😎
 
Unaongea us3nge tu wewe,kampuni zimepelekewa barua kuwataka watoe watu na magari kwenda kumpokea makonda kwa lazima, mfano kiwanda cha nguo cha AtoZ kimepeleka kwa lazima wafanyakazi wote waliotoka shift ya usiku,niliwakuta wakilalamika na kulaani kitendo hicho,kwani muda huo walpaswa kupumzika ili waingie tena kazini usiku, leopard tours,nk pia walishurutishwa kupeleka watu na magari kwa lazima,hukai arusha,huyajui ya arusha
Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?

Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.

Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
E
 
Back
Top Bottom