Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Hiki kichwa ni box, Gwajima J, alishamzungumzia sana huyu mtu siku za nyuma hivyo ikikupendeza kupitia YouTube utajua huyo Bashite ni mtu wa namna gani

Mkuu kama utapata naomba unisadie kutupia hapa nataka nijifunze
 
Jamaa anataka apewe kazi ya udalali ya kumtafutia mganga - yake yale enzi za Jiwe.

Mama kuwa makini, wasaka tonge tupo wengi.

Pia anataka kumchonganisha Rais na watu wengine

Tabia za ki-socialpath kabisa
 
Kuna ukweli hapo.

Kama mabosi wa level za kawaida tu wanapitia hii mitihani ndio asiwe yeye??

Wabongo wanajua kuroga aisee na wanapenda sana.

Sawa kwanini asingemfuata private?
 
Ningekuwa mimi ndiyo Rais, ningemuita Ikulu aje faster kuthibitisha kwanza hiyo kauli yake. Na angeshindwa, ningemtumbua mara moja. Maana Katiba ya nchi haitambui uwepo wa uchawi.
Kuroga siyo lazima uwe uchawi. Acheni ramli chonganishi.

Gari lake limeroga (limekwama, haribika) tangu jana.

Wanaomroga Sa100 = wanaomkwamisha, wanaomwaribia.

Hapo upo?!
 
^Naushauri uongozi wangu tukae chini na wazee tuyamalize haya mambo. Tatizo halipo kwa kocha, kwa wachezaji wala sehemu nyingine. Tunarogana wenyewe kwa wenyewe. Ikiwezekana wawe wanagawiwa mia mbili mia mbili kama walivyozoezwa hata kabla hatujaja katika uongozi wa klabu hii. La sivyo tutapoteana.^

Screenshot_20241211-065353-1.jpg
 
Back
Top Bottom