Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Huyu mjinga alitumia staili hii kumtisha Magufuli kuwa anasumbuliwa na majini aliyoacha JK pale ikulu hadi Jiwe akamuamini na kumpa kandarasi ya kumletea jopo la waganga na ndiyo ilipelekea Magufuli kumuamini sana. Sasa naona anakuja na gia hiyo tena kwa Samia. Makonda ni mshirikina wa kiwango cha juu sana .
Amewajuaje wasirikina kama yeye siyo miongoni mwao?? Kutwa Kiongozi Mkubwa wa Mkoa kuhubiri ushirikina. Upumbavu wa hali ya juu. Kuwaambia watu kwamba kuna wanafanya ushirikina kwa watoto wenu ndiyo maana wanakuwa walevi, unategemea nn kama siyo kuwagombanisha raia anaowaongoza?? Hafai kuwa Kiongozi.

Hivi Tanz ina Mkuu wa Mkoa mmoja tu?? Napata sababu kwamba kwanini Wanaccm wenzie walimkataa kuwa Muenezi wa Chama chao. Sasa ni wakati nao Arusha wamtose. Vinginevyo watafarakanishwa kwa mahubiri ya kishirikina kila kukicha.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Mlozi yeyote namba moja atasema hivyo.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Hao walozi hawako serious. Mbona hakuna matokeo?
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Nchi inavituko sana yeye amejuaje kama kweli yeye Hamlogi ? Uyu hajui Dunia katika hali ya kawaida huwezi tamaka maneno kama aya kwa Mkuu wa nchi ,kama anajua kwanini wasiambizane wakamalizana huko ,so ukisema mbele za watu inakusaidia nini
 
Kibongobongo ukishakuwa bosi lazima urogwe sana, na Kila mtu ana namka yake yakuroga.

Ukiwa kiongozi, ukilala ukiamka muombe Mungu akupe hekima na busara sana, akupe wepesi uishi Kwa haki na kutenda haki
 
Kwa mara kwanza ushirikina umeingia state house
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
 
Si aseme tu kuwa mama anamkubali sana hata alitaka kupewa uwaziri sema timu msoga haimtaki kabisa! Ila muhula ujao ana uhakika wa uwaziri hata asipogombea ubunge tena akiendelea kucheza vizuri uwaziri mkuu unamuhusu!
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Huyu ndiye aliyekuwa anamtafutia Jiwe Wale Waganga wake 500
 
Nikifikiria yale mafuriko yanayokuwa kwa Mwamposa, Kuhani Musa, Kiboko ya wachawi (enzi zile), n.k., n.k., naanza kuamini Makonda si mjinga: anaongea na nafsi za Watanzania wengi kuliko tunavyofikiri.

Akiwa kama msanii hivi anaweza kuwa kioo cha jamii huyu jamaa. Inasikitisha. Imani za kishirikina ndio ada ya taifa hili!
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Ina uhusiano gani na maendeleo ya Arusha ? Aache utoto wake na uchawa......afuate JD ya RC....period
 
Back
Top Bottom