Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Angemfuata Rais private kumwambia. Amekuja kuongea on stage ili iweje kama sio uchonganishi?

Kwamba huyu hana namba ya Rais?

Na kwanini hajawataja hao watu wanaomroga Rais kama kweli ana nia njema?
Ukiachana na Nafasi aliepo ambayo ni ya kisiasa chochote anachofanya ni Siasa..
Hayo ndio maisha ya mwanasiasa Tanzania ili udumu usikike tafuta kitu cha kuongelewa ...

Ingekuwa ni daktari au watu wengine wanamipaka yao lakini yupo katika uwanja wa kisiasa
 
Hao ndio washauri wa mama yenu.

Mama yenu kwa uwezo wake mdogo kafika kikomo kiutendaji , hata washauri waliotakiwa kumvusha hatua nyingine wao wanamdanganya anafanyiwa ushirikina.

Na nchi inaendelea kurudi nyuma sababu anakumbatia matapeli wa kisiasa.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Namna nzuri ya kumwambia mtu kwamba hafai, anaharibu kazi na imemshinda ni kusema amerogwa.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Kwani uongo .......wale nyamafu wa Tanga ndo zao
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Makonda yupo sahihi miafrika ndio ilivyo

Sema na yeye anamroga Samia

Waafrika ni ngumu Sana kuishi bila Imani za uganga kwenye kazi zao!!
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Wameacha kumtukana na kuwalipa watukanaji na sasa wameanza kumroga!
Waongeze bidii kwakweli maana siyo kwa DRAMA DRAMA HIZI na KIFO NI KIFO TU.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
[/QUOT
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Mrogwa naweza kuwa Mrogi pia
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Labda mchawi mwenyewe ni yeye. Imesemwa mara nyingi kuna huyu mtu ni mtu anayeamini sana katika ushirikina. Inasemwa kuwa aliwahi kuwapeleka wanga ikulu wakati wa awamu ya 5.
 
Daudi Albert Bashite kwenye maombi 🙄
 

Attachments

  • FB_IMG_1708267318141.jpg
    FB_IMG_1708267318141.jpg
    33.7 KB · Views: 2
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
domo lopo lopo....shida ana ulimi mkubwa kuliko mdomo
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, leo ameendesha ibada ya kuombea Mkoa wa Arusha na Taifa kwa ujumla katika kilele cha Siku ya Uhuru wa Tanzania bara.

Moja ya gumzo katika hotuba ya Makonda ni kuwa Rais Samia anarogwa na watu wasiolitakia mema Taifa.

Swali langu kwa Makonda ni vigezo gani amevitumia kujua kama Rais Samia anarogwa
IMG_4560.jpeg
 
Back
Top Bottom