Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Huyu mjinga alitumia staili hii kumtisha Magufuli kuwa anasumbuliwa na majini aliyoacha JK pale ikulu hadi Jiwe akamuamini na kumpa kandarasi ya kumletea jopo la waganga na ndiyo ilipelekea Magufuli kumuamini sana. Sasa naona anakuja na gia hiyo tena kwa Samia. Makonda ni mshirikina wa kiwango cha juu sana .
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Mbona Hilo la kuwataja watu wanaombujumu Rais alishajibia kwenye mkutano na waandishi wa habari kuwa alishamtajia Rais na hakumaanisha kutaja hadharani.
 
Anakemea Washirikina wakati yeye mwenyewe anayoyafanya hapo ni ushirikina mtupu. Huyu Konda Boy Wana Arusha wasipokuwa makini atawavuruga kwa kuwatisha kuwa Arusha kumejaa washirikina.

Kwanini anazungukazunguka tu pale Arusha Mjini?? Why not Monduli, Longido au Ngorongoro?? Kuna Jambo lake pale ni suala la muda tu. Ndiyo maana anahangaika kufanya ushirikina wake kwa kuwalaghai Viongozi wa Dini. Mungu adhihakiwi.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Kumbe ndio wanavyopata vyeo.
Hatukujua hayo.
Yeye vipi alienda kwa mganga kuupata ukuu wa mkoa huo?
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Kurogwa kunapimwa je sasa? Mbona huu ni uchonganishi?
 
Back
Top Bottom