missongika
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 341
- 409
Kama ndivyo ilivyo, basi amuobe Mwamposa amuombee Rais wetu asipatwe na majanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo lichawi no 1Hili shoga linapenda sana ushirikina na uchonganishi.
Ndiyo mambo wanayofanya gizani, kwanini waganga wengi wa kienyeji wapo Dar?Kuwa na viongozi wanaoamini uchawi ni hatari sana Kwa Nchi.
Huyu mjinga alitumia staili hii kumtisha Magufuli kuwa anasumbuliwa na majini aliyoacha JK pale ikulu hadi Jiwe akamuamini na kumpa kandarasi ya kumletea jopo la waganga na ndiyo ilipelekea Magufuli kumuamini sana. Sasa naona anakuja na gia hiyo tena kwa Samia. Makonda ni mshirikina wa kiwango cha juu sana .Wakuu,
Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.
Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.
"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.
"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"
===========================================
Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?
Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.
Leo tena amerudia maneno yake haya.
View attachment 3173017
"
Inasemekana ndiye aliyemtafutia Magufuli wachawi wa kumlinda. Jiwe alikuwa blackmailed ndio maana hakuweza kumfanya chochote BashiteMakonda ni mchawi.
Haswa,mpaka zimegandaMakonda ana akili sana
Mbona Hilo la kuwataja watu wanaombujumu Rais alishajibia kwenye mkutano na waandishi wa habari kuwa alishamtajia Rais na hakumaanisha kutaja hadharani.Wakuu,
Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.
Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.
"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.
"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"
===========================================
Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?
Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.
Leo tena amerudia maneno yake haya.
View attachment 3173017
"
Makonda ana akili sana
Kumbe ndio wanavyopata vyeo.Wakuu,
Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.
Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.
"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.
"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"
===========================================
Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?
Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.
Leo tena amerudia maneno yake haya.
View attachment 3173017
"
Kurogwa kunapimwa je sasa? Mbona huu ni uchonganishi?Wakuu,
Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.
Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.
"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.
"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"
===========================================
Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?
Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.
Leo tena amerudia maneno yake haya.
View attachment 3173017
"
Mbona Hilo la kuwataja watu wanaombujumu Rais alishajibia kwenye mkutano na waandishi wa habari kuwa alishamtajia Rais na hakumaanisha kutaja hadharani.