Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017

Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Huenda wanamroga kwa kumtumia popo bawa.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Watumishi "Tuiopo' tunatafuta upendeleo kwake. 'TU kiambishi awali nafasi ya kwanza wengi. Nayeye kajijumuisha. Kamchonganisha nani au hujui lugha ya kishwahili Vizuri?. Uchawa ni urozi ili kupata upendeleo. Rudi Darasani utaelewa
 
Akitoka kumloga mama Abdul😀😀😀
30740.png
 
Hata yeye mwenyewe hapo anaroga sana hili aendelee kubaki kwenye hicho cheo!
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Mchawi yeye, anajuaje wenzake wanamloga?
 
Nchi inavituko sana yeye amejuaje kama kweli yeye Hamlogi ? Uyu hajui Dunia katika hali ya kawaida huwezi tamaka maneno kama aya kwa Mkuu wa nchi ,kama anajua kwanini wasiambizane wakamalizana huko ,so ukisema mbele za watu inakusaidia nini
Anataka apewe kandarasi ya kuleta walozi toka Gamboshi.
 
Si aseme tu kuwa mama anamkubali sana hata alitaka kupewa uwaziri sema timu msoga haimtaki kabisa! Ila muhula ujao ana uhakika wa uwaziri hata asipogombea ubunge tena akiendelea kucheza vizuri uwaziri mkuu unamuhusu!
Uwaziri Mkuu hadi uwe mbunge wa kutoka jimboni,labda kwa vile Katiba yetu kijitabu tu inawezekana.
 
Back
Top Bottom