Paul Makonda: Sijawahi kuvamia Clouds Media. Nimetumika sana na Clouds, Ruge alikuwa ananipigia sana simu

Paul Makonda: Sijawahi kuvamia Clouds Media. Nimetumika sana na Clouds, Ruge alikuwa ananipigia sana simu

Kwa kauli yake hiyo kwamba aliwasaidia clouds kusort vimeo vyao kwa TCRA ambapo kwa hakika ilikuwa anakiuka sheria na taratibu za nchi. Hii inatosha sana jamaa kupoteza nafasi na uhaminifu wa kupewa ofisi ya umma. Anatakiwa kutenguliwa haraka sana
 
Haya sawa tuseme hukuvamia, kwanini hukutaka kuhojiwa na kamati iliyoundwa na waziri Nape kwa wakati huo?

Ni suala hili hili la clous lilimfanya Nape atumbuliwe, hata alipotaka kuongea na wanahabari yaliyojir alitishiwa na bastola mbona kwenye hilo hajaongelea. Anajikangaga kanyaga asifikiri tumesahau
 
Kwa kauli yake hiyo kwamba aliwasaidia clouds kusort vimeo vyao kwa TCRA ambapo kwa hakika ilikuwa anakiuka sheria na taratibu za nchi. Hii inatosha sana jamaa kupoteza nafasi na uhaminifu wa kupewa ofisi ya umma. Anatakiwa kutenguliwa haraka sana
Wanasema ukweli sasa alianza Nape akapewa rungu la kichwa
 
...kamati iliyoundwa na waziri Nape kwa wakati huo?...
Kwa wakati huo, Makonda alikuwa anawajibika kwa wananchi kupitia Mamlaka ya uteuzi wake na Ile tume ya maadali. Nape wakati huo Hakuwa na legal ama administrative basis kumuweka kiti moto Makonda!! Sidhani kama nimekosea kwenye ujengaji huu wa hoja!
 
Wakuu,

Inaonekana leo Makonda ameamua kusema yote ya rohoni

Akiwa anaongea rasmi na wanahabari, Makonda amesema kuwa clip inayomuonesha akiwa anaingia na bunduki Clouds ilitumika vibaya kupotosha na kwamba Clouds wamemtumia sana yeye kuliko yeye alivyowatumia.

"Hakuna kituo chochote kilichowahi kuvamiwa chini ya uongozi wangu. Clouds ilikuwa ni familia yangu. Walinzi niliokuwa nao wa nyumbani kwangu, ndo walinzi ambao hata Ruge mwenyewe akikwama ndo walikuwa wanawapigia simu"

"Pale tulikuwa tunaenda kufanya editing, tunatoka tunarudi. Sasa swali kubwa ambalo natamani wandishi wa habari mngefanyia kazi. Moja, mbona hamjawahi kudai clip za mule ndani nilienda kufanya nini? Kwanini mliamini tu ya kwamba mtu ameonekana kuingia pale mlangoni alafu ndo ikawa chanzo cha uvamizi?

"Na cha pili hata yule mlinzi mwenyewe aliyekuwepo, kabonyeza ile button comfortable kabisa. Nilikuwa naenda mchana nilikuwa naenda usiku so many times. Ingekuwa ni investigation proper, wangeomba okay fine, hivi kwa mwezi wote mzima Makonda alikuja mara ngapi hapa?"

" Ni chombo ambacho hakijawahi kuvamiwa na mimi. Infact mimi nimetumika zaidi na Clouds, kuliko nilivyoitumia Clouds. Can you imagine ilikuwa imefika hatua wanaitwa na TCRA mimi na-show up, Ruge anapiga simu Brother eeh jamaa wamekuja TCRA, tuna kimeo hapa. Wananiambia niko wapi nawaambia tulia nakuja"
Hii Nchi beans inaendeshwa kihuni Sana. Kwa Hiyo Makonda ameona huu ndio wakati wake WA kujisafisha au anautaka Ubunge wa Arusha mjini?
 
Ripoti hii hapa inakusuta bwana Makonda, acha kudanganya watu.
Hiyo imeundwa na Nape ilioundwa na Mwakiembe inasemaje? Kama ungekuwa umemsikiliza ungekuwa umeshapata majibu
 
Wakuu,

Inaonekana leo Makonda ameamua kusema yote ya rohoni

Akiwa anaongea rasmi na wanahabari, Makonda amesema kuwa clip inayomuonesha akiwa anaingia na bunduki Clouds ilitumika vibaya kupotosha na kwamba Clouds wamemtumia sana yeye kuliko yeye alivyowatumia.

"Hakuna kituo chochote kilichowahi kuvamiwa chini ya uongozi wangu. Clouds ilikuwa ni familia yangu. Walinzi niliokuwa nao wa nyumbani kwangu, ndo walinzi ambao hata Ruge mwenyewe akikwama ndo walikuwa wanawapigia simu"

"Pale tulikuwa tunaenda kufanya editing, tunatoka tunarudi. Sasa swali kubwa ambalo natamani wandishi wa habari mngefanyia kazi. Moja, mbona hamjawahi kudai clip za mule ndani nilienda kufanya nini? Kwanini mliamini tu ya kwamba mtu ameonekana kuingia pale mlangoni alafu ndo ikawa chanzo cha uvamizi?

"Na cha pili hata yule mlinzi mwenyewe aliyekuwepo, kabonyeza ile button comfortable kabisa. Nilikuwa naenda mchana nilikuwa naenda usiku so many times. Ingekuwa ni investigation proper, wangeomba okay fine, hivi kwa mwezi wote mzima Makonda alikuja mara ngapi hapa?"

" Ni chombo ambacho hakijawahi kuvamiwa na mimi. Infact mimi nimetumika zaidi na Clouds, kuliko nilivyoitumia Clouds. Can you imagine ilikuwa imefika hatua wanaitwa na TCRA mimi na-show up, Ruge anapiga simu Brother eeh jamaa wamekuja TCRA, tuna kimeo hapa. Wananiambia niko wapi nawaambia tulia nakuja"
Paulo Makonda alivyo mkosa akili anaona fahari kwamba alikuwa anatumia mamlaka yake kuzuia vyombo vya serikali kama TCRA kutimiza wajibu wake, without shame hicho ni kitu cha kuwa proud of. FCK OFF.
 
Kwa wakati huo, Makonda alikuwa anawajibika kwa wananchi kupitia Mamlaka ya uteuzi wake na Ile tume ya maadali. Nape wakati huo Hakuwa na legal ama administrative basis kumuweka kiti moto Makonda!! Sidhani kama nimekosea kwenye ujengaji huu wa hoja!
Kumbuka kile ni chombo cha habari, alikuwa na dhamana ni waziri wa habari, so kwa Nape alikuwa sahihi, ndio maana akasema hiyo ripoti ataipeleka kwa wakuu wake, means waziri Mkuu, Raisi na makamu wa Raisi hao ndio walikuwa wakubwa kwa Nape..

Waziri na Mkuu wa Mkoa wote ni wateule wa Raisi, labda tuulizane nani ambaye yuko juu ya mwenzake kiutendaji?
 
Bora angeendelea kukaa kimya,amechafuka na anazidi kujichafua,sijui kwanini watu wa namna hii wanaendelea kupewa dhamana ya kuongoza watu wakt ata kujiongoza wenywe wanashindwa.
Ukimwangalia aliyemteua Makonda, unadhani ana Iq bora kumzidi Makonda ?
 
Namaanisha kumtaja katika tuhuma mbalimbali zinazo hitaji muhusika atoe majibu au utetezi.
Mfano utekaji na mauwaji.
Kumtaja marehemu katika jambo linalohitaji uhakiki zaidi kunahitaji ushahidi zaidi.

La sivyo, tutajuaje kilichosemwa ni ukweli na si hadithi ya kutungwa tu ambayo imesemwa kwa sababu marehemu hayupo kunyoosha maneno?
 
Which basic evidence is being missed here that leads the argument to be seen as the " appeal of popularity"?

It depends on the basis of formulation of conclusive statement. For instance , if the discussion of results is wrongly crafted even if the results were prepared by the "guru" the conclusion will always be seen as "non sequitur

The sun will always rise in the morning for every tomorrow no matter what!!! That is "physical law" unless you are referring to "alien's laws"

It is only entropy that might be confusing otherwise, Maji hayawezi kupanda mlima kwa Hali ya kawaida.

===
Napumzisha shauri langu.
First things first, the sun does not rise, it appears to rise.

And even that appearance will not always be there for every tomorrow. That is against the laws of physics.

The sun has a finite amount of energy to burn and in a few billion years will not appear to rise. The earth will be devoured.

So much for your malnourished physics.
 
Waziri na Mkuu wa Mkoa wote ni wateule wa Raisi, labda tuulizane nani ambaye yuko juu ya mwenzake kiutendaji?
Majibu umeisha yatoa, hivyo umehitimisha kuwa tume ya Nape haikuwa na uwezo wa kumuhoji Mheshimiwa Makonda
 
Hapo kwenye uvamizi wa Clouds Makonda amejichanganya, na huenda amekiri kukiuka maadili ya utumishi wa umma. Kuna ripoti ya uchunguzi ilitoka ikimtuhumu kuvamia. Pia nadhani hata watendaji wa Clouds walijitokeza kulaumu uvamizi huo. Sasa kama Makonda amedanganya ktk suala hili itakuwa shida sana kuamini majibu yake ktk tuhuma nyingine. Nadhani alikuwa anakwenda vizuri alipoamua kukaa kimya. Majibu haya Makonda hawezi kuyafuta.
 
Sawa mzee wa AI. Maana kwa kebehi nitakuwezaje!? H ahahaha aa! Na umeleta hii kebehi makusudi kuzuia kuhojiwa zaidi kwenye nyanja hii na "sane people".
====
Hapana. Nimekuonesha kwamba hujui unachoandika.

Kwa kuanzia na habari hiyo tu ya jua, umekubali hukujua ulichoandika ili tuimalize hii fake news tuendelee na mengine?

Nimeanza kwa kuandika "first things first" kwa makusudi.

Hapo nimeanzia tu, sijamaliza bado.
 
Back
Top Bottom