Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again


Mimi nimempongeza sana kwa Kauli moja tu ya Makonda ,lile la KUFUTA ile kauli ya Katibu mkuu wa TUcTA kuhusu wazee wa mila kusimamisha mvua.Makonda kasema Kwamba kila kitu kiko chini ya Mungu na kutambua maombi ya viongozi wa Dini. Hiv ni kweli Waziri mkuu alisahau nafasi ya viongozi wa dini mpaka kuomba msaada kwa viongozi wa mila?
 
Boss, nipo Arusha, watu esp vijana vijana wapo wa kutosha. Jana usiku saa sita wakati wa kupiga fataki tu watu walikuwepo, leo hizo bajaji na pikipiki ni za kutosha. Huo ndo ukweli hata kama haupendwi.
 
uwanja ni mdogo ndiyo maana anaonekana kuuujaza na watu.
 
Zaburi 118:22-24
Jiwe walilolikataa waashi,
Limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Jambo hili limetoka kwa Bwana,
Nalo ni ajabu mno machoni petu.

Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana,
Tuishangilie na kuifurahia.
Ongeza na mwingine mkuu
 
Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda.
Suala siyo kudodeha sikukuu, hofu ni nani ameinjinia menu ya leo?
 
kwahiyo hiyo ni nini? na mbona iko kwenye stationary yako pekeyako ndugu mfanyakazi. na inaonekana umepata tabu sana kuipiga picha na kuscan
Wafanyaz wanataka chaooo
Pole yaoo sana

Ova
 
Sikukuu ya wafanyakazi badala ukasikie mipango, mambo ya pensheni, mishahara na ajira imegeuka ya watu wamejaa au lah pamoja na wadudu kupendezesha shughuli, bongo ina safari sana 😀
 
Tuseme na kizimkazi alimsusia basi
 
Mshahara haujaomngezwa lakinii mashangingi ya ma DC yana nunuliwa
Mshahara haujaongezwa lakini misafara ya viongozi haipungui
Ulitaka DC atembee kwa miguu kwenda ofisini kwake.?

Ulitaka mheshimiwa Rais asindikizwe na gari moja..?

Muda mwingine jitahidi ufiche ujinga wako uepuke aibu ndogo ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…