hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Ndugu zangu Watanzania,
Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.
Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.
Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Boss, nipo Arusha, watu esp vijana vijana wapo wa kutosha. Jana usiku saa sita wakati wa kupiga fataki tu watu walikuwepo, leo hizo bajaji na pikipiki ni za kutosha. Huo ndo ukweli hata kama haupendwi.Kuna muda muwe mnatumia akili. Akili za kukusaidia kujua Mei Mosi inavyokuwa organised. Itakusaidia kujua ile sio ya Bashite bali ni maelekezo ya serikali kwa watumishi wake. Huko kuna roll-call lazima mtu aende. Huko watu wamesaini posho kuhudhuria. Nani hataki posho?
Akili mnatumia kufanyia nini?
uwanja ni mdogo ndiyo maana anaonekana kuuujaza na watu.Kuna muda muwe mnatumia akili. Akili za kukusaidia kujua Mei Mosi inavyokuwa organised. Itakusaidia kujua ile sio ya Bashite bali ni maelekezo ya serikali kwa watumishi wake. Huko kuna roll-call lazima mtu aende. Huko watu wamesaini posho kuhudhuria. Nani hataki posho?
Akili mnatumia kufanyia nini?
Ongeza na mwingine mkuuZaburi 118:22-24
Jiwe walilolikataa waashi,
Limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Jambo hili limetoka kwa Bwana,
Nalo ni ajabu mno machoni petu.
Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana,
Tuishangilie na kuifurahia.
Suala siyo kudodeha sikukuu, hofu ni nani ameinjinia menu ya leo?Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda.
kwahiyo hiyo ni nini? na mbona iko kwenye stationary yako pekeyako ndugu mfanyakazi. na inaonekana umepata tabu sana kuipiga picha na kuscanSawa
Ova
Mshahara haujaomngezwa lakinii mashangingi ya ma DC yana nunuliwaSina ID Zaidi ya hii nayotumia siku zote.
Samia ameona nongwa kujumuika na Makonda safari hii.
Wafanyaz wanataka chaoookwahiyo hiyo ni nini? na mbona iko kwenye stationary yako pekeyako ndugu mfanyakazi. na inaonekana umepata tabu sana kuipiga picha na kuscan
JamiiForums ina watumiaji wachache sana kulinganisha na InstagramHivi kwanini makonda anakubalika sana na wafuasi wake Instagram tofauti na wanachama wa jamii forum
ni wa hapo stationary sio? maana sii bango hilo ni namna tu ya lijaribu kulifanya liwe bango naona imeshindikanaWafanyaz wanataka chaooo
Pole yaoo sana
Ova
Picha zitakuja mpaka zingine utaonyesha mitaaniBila picha ni kama audio ya simulizi ya Denis Mpagaze
Tuseme na kizimkazi alimsusia basiGTs,
Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.
Ndiyo tunawauliza nyie watumishi wa umma,vp bando limeongezwani wa hapo stationary sio? maana sii bango hilo ni namna tu ya lijaribu kulifanya liwe bango naona imeshindikana
Ulitaka DC atembee kwa miguu kwenda ofisini kwake.?Mshahara haujaomngezwa lakinii mashangingi ya ma DC yana nunuliwa
Mshahara haujaongezwa lakini misafara ya viongozi haipungui