Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Ulitaka DC atembee kwa miguu kwenda ofisini kwake.?

Ulitaka mheshimiwa Rais asindikizwe na gari moja..?

Muda mwingine jitahidi ufiche ujinga wako uepuke aibu ndogo ndogo
Hhujui ulissmemalo wewe kwani plano siyo gari? Ivi unampa mtu gari ya ml500 wakati akiwa kwake anatembelea IIist
Ist
 
Wadau mtaniwia radhi kwa hili,

Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.

Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu Pierre liquid(pale Mlimani city kwenye kongamano la mtoto wa kike) akisema:

"HATUWEZI KUWA NA TAIFA AMBALO LINA-PROMOTE WATU HOVYO, WANAKUWA HADI MA-BRAND AMBASSODOR... HALAFU UNATEGEMEA WATOTO WETU WATAFIKIA KWENYE MAFANIKIO??

Mimi nilielewa alikuwa akiwakosoa na kuwashambulia watu waliokuwa wanam-brand na kumprote kwa sababu alikuwa mlevi na comedian.




Picha linageuka,

Leo ni yeye huyuhuyu anawapromote na kuwabrand wadudu/machalii wa Arusha akisema:
"HAWA WADUDU NI JINA, NI BRAND, MKOA HUU NINA KILA AINA YA VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI ........"




Sasa hawa wadudu wana tofauti gani na Pierre wa wakati ule?

Amesahau? Au ndo siasa ilivyo?
 
Hhujui ulissmemalo wewe kwani plano siyo gari? Ivi unampa mtu gari ya ml500 wakati akiwa kwake anatembelea IIist
Ist
We ndo hujui lolote tena kaa kimya kabisa, masuala ya nyumbani kwa mtu ni ya kibinafsi zaidi, akiwa kwenye majukumu ya utumishi wa umma lazima serikali imgharamie

Ungehoji kile kighorofa kule uchagani ungekua unaakili kidogo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.

Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.

Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unasemaje?
Screenshot_20240501_164429_X.jpg



View: https://twitter.com/MariaSTsehai/status/1785647282009825341?t=b3hQNF8LF_fAlFeEBpd-Qg&s=19
 
Yaani kama ningekuwa mtu wa siasa ningeichukua video ya wadudu wa R chuga wakiingia uwanjani leo Meimosi, then nikaimute sauti halafu nikaipandishia juu yake sauti ya mheshimiwa alipokuwa akimpa makavu Pierre liquid pale mlimani city ili niwe najiburudisha.
 
Hao wadudu wake ni comedians na artists. Real wadudu wanaonekana usiku tu. Hao watoto wadogo tu wanajifurahisha. Wanaoifahamu Arusha watakwambia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.

Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.

Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ubunifu wa nini ,
Maku wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.

Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.

Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ninyi ndio huwa mnapakatwa na kusokomezewa vitu vigumu makalioni .
Yaani jitu zima na nywele mpaka kwenye pumbu unakaa kusifia wanaume wenzako hao mataahira wa ccm
Acha uchoko jinga we
 
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba, hao wa dudu Wana adirishwa ili wawe watu wa maana, na mda so mrefu utaakutana nao wakiwa watu wa maana kabisa.

Piere alikuwa ana promotiwa kuwa mrevi.

Vitu tofauti.
 
Wadau mtaniwia radhi kwa hili,

Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.

Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu pierre liquid(pale mlimani city kwenye kongamano la mtoto wa kike) akisema:
"HATUWEZI KUWA NA TAIFA AMBALO LINA-PROMOTE WATU HOVYO , WANAKUWA HADI MA-BRAND AMBASSODOR ... HALAFU UNATEGEMEA WATOTO WETU WATAFIKIA KWENYE MAFANIKIO ??

Mi nilielewa alikuwa akiwakosoa na kuwashambulia watu waliokuwa wanam-brand na kumprote kwa sababu alikuwa mlevi na comedian.

View attachment 2978301


Picha linageuka,

Leo ni yeye huyuhuyu anawapromote na kuwabrand wadudu/machalii wa Arusha akisema:
"HAWA WADUDU NI JINA, NI BRAND , MKOA HUU NINA KILA AINA YA VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI ........"


View attachment 2978302

Sasa hawa wadudu wanatofauti gani na pierre wa wakati ule ?

Amesahau ? Au ndo siasa ilivyo ?
Makonda siyo mwanasiasa (kama unamaanisha uanasiasa per se) Makonda ni mchumia tumbo anayetumia njia ya kujipendekeza ili kuendesha maisha yake. Kila kitu anachoongea au kufanya anasoma upepo kwanza.
 
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba, hao wa dudu Wana adirishwa ili wawe watu wa maana, na mda so mrefu utaakutana nao wakiwa watu wa maana kabisa.

Piere alikuwa ana promotiwa kuwa mrevi.

Vitu tofauti.
Kuwa ''mtu wa maana'' hakuji bila kufanya ''mambo ya maana''!
 
Back
Top Bottom