Kunguni wananuka sana.Hawa wengine wamevuka hatua ya uchawa. Wamekuwa kunguni.
Shaka mzanzbariAnagombea hapo na shaka anagombea kilosa. Wewe nina wasiwasi utakuwa unapewa za ndaaani sana maana sio wengi wanajua hili.
Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
Amekula "maharagwe-uvundo" na mayai yaliyochemshwa.Afadhali yangekuwa maharage tu.Maana kuna tofauti kati ya maharage na maharagwe.Umekula maharage ya wapi wewe?
Hivi Mbunge wa sasa kabila gani vile?Hahahah, Mkuu em amka hii ndoto ni mbaya.
Nani kakwambia Arusha haina kabila?. Unataka wamuimbe Paulo kama Yahaya Mkuu?
Asichojua ni kuwa siasa za Arusha ni tofauti na mkoa mwingine TANZANIA.Amekula "maharagwe-uvundo" na mayai yaliyochemshwa.Afadhali yangekuwa maharage tu.Maana kuna tofauti kati ya maharage na maharagwe.
Aliwekwa kuwa mbunge na nani vile?Hivi Mbunge wa sasa kabila gani vile?
Alikuwa na muda DSM akatolewa mbavuni kule Kigamboni.Arusha siyo Kolomije.Na dogfather/godfather wa msimu wa 2020 hayupo tena.Muda ndiyo kila kitu, kwa muda huukuwa na majibu ni mapema sana
Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
So what..??Shaka mzanzbari
Hakuna mwenye akili Timamu anayetaka kusikia ujinga wa Lissuhiyo silaha amekuja nayo lisu ni ya kupiga kwenye mshono, hata ndugu zako wachuna ngozi kule mbozi wanapenda kusikia hiyo hoja ya Tanganyika.
Tumelogwa❌Kwahiyo tuache kuzungumzia kikokotoo na nyongeza ya mshahara tuanzie zungumzia wadudu na ubunifu WA Makonda. Watz tumelogwa
Kikokotoo utapata majibu yake baadaye kutoka kwa Mheshimiwa Rais MwenyeweKwahiyo tuache kuzungumzia kikokotoo na nyongeza ya mshahara tuanzie zungumzia wadudu na ubunifu WA Makonda. Watz tumelogwa
walikua wananiita homeboy nikawaambia toka hapa acheni ujinga. wakaniambia nimekua mdaslam. uhuni wa kijingajinga.Hawa baada ya miaka kumi watakuwa ni mizigo kwa jamii
Samia kaogopa kwenda Arusha upepo WA lissu unatishaHakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!
View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL
Umepinda hadi ubongo. Huo kwako ulikuwa ni mkutano wa siasa wa Mkuu wa Mkoa????Mwamba Makonda anawatesa sana wapinzani na nyumbu wa CHADEMA. Mafuriko yaliyomiminika leo uwanjani mpaka wengine kukosa nafasi na kuamua kubakia nje ya uwanja kumewaumiza na kuwatetemesha sana sana CHADEMA, mpaka sasa wamebaki wanaweweseka tu kama wagonjwa wa malaria kali. Hapo bado Mwamba hajamaliza hata nusu mwaka.