Utumishi wa umma ni mtaji kuelekea kwenye taranta yako, hili usilsahau boss, vinginevyo mtakuwa mkilialia kila mwaka kuomba kuongezewa mshahara!Umewahi kuwa mtumishi wa umma au u aisha kwa shemeji maisha yako?
hii ndio picha halisi ya tz..... na tukumbuke arusha inachafuka kwa mtindo mbovu wa malezi na makuzi ya hao vijana...... imagine mgeni anakuja na kuondoka na stori za wadudu kiufupi tunaonekana bado sanaHakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!
View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL
wachache sana wanaelewa hilo ndio maana unakuta wengi wa waajiriwa hawana plan za maisha zaidi ya kuamka asubuh kukimbia kazini na kusubiri weekend wakalewe j3 warudi ofisiniUtumishi wa umma ni mtaji kuelekea kwenye taranta yako, hili usilsahau boss, vinginevyo mtakuwa mkilialia kila mwaka kuomba kuongezewa mshahara!
Yule Chawa nambari kwa JF.Ngoja nisubiri kwanza na maoni ya yule dogo Lucas Mwashambwa kwenye huu uzi.
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!
View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL
Tanzania ukifa na presha umejiamria tuNchi ina vituko
Ova
Huyu jamaa huyu, basi tu.Actually huyu angalau ataweza kutembea kwenye njia za Magufuli....ni tishio kwa wengi.....
Kula beerNchi ina vituko
Ova
Haina shida, tutaendelea kusubiri, ila nyota njema huonekana asbhNi mapema sana kusema kama amefaulu ama kafeli.
Ndiyo kwanza hajakamilisha hata mwezi.
Ila ana vision, utekelezaji utaamua.
Lakini si kwa madubwana hayo uliyoambatanisha.
Wadudu wamenyooka, bila kutumia hata nguvuakuna kutumia nguvu ni akili tu,wadudu wametubuπ π€£
Umefanya breakdown nzr sana.Makonda ni msomaji wa Alama za nyakati kisiasa.....anajua nini watu wanataka, na kwa wakati gani!
Anajua watanzania(walio wengi) hasa nyakati hizi za sasa....ni (low minded)Wana akili ndogo!...
Wanapenda Umbea! ,udaku!, vitu vya kijingajinga! Na takataka za kufanana na hizo!....Ndivyo vitu watu wanapenda!....
Hii imemrahisishia sana kutembea na beat....hajawahi toka nje ya key....!
Kwa hili nampa heko sana!
Ni mtu Fulani anaeonekana kama wa hovyo! Hivi....
Lakini makini!....alieweka umakini katikati ya kundi lΓ wajinga! wachache.... Na si kwamba hajitambui! Anajua anachokifanya.
Ndo maana nasema huyu jamaa ni hbr nyingineSiku muhimu kama ya jana, kinachokumbukwa ni hivyo vibonzo tu..... kulanina zake.
Kenyonyo mdudu, hahahahaaππππNamuona kenyonyo kapanda juu ya meza πππ
Flexibility 100%Makonda atafika mbali huyu mtu.
Anaweza kuswitch na Kila Hali...!!!
Panya road wameanza kelele baada ya makonda kukaa benchi..Alishindwa vipi na Panya Road ??? [emoji57][emoji57]
Face factsMakonda ana vision? Unajua maana ya vision au unatania?
Huyu jamaa ni bogasi sana, empty head kabisa, yaani hapo anafanya kituko gani sasa. Kwa hili SSH amefeli sana.Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.
Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.
View attachment 2978991View attachment 2978992View attachment 2978993View attachment 2978994View attachment 2978996
Ni kwamba hujaona wadudu hapo na bunduki zao wanazotutishia usiku?Walioenda hapo ni chawa/UVCCM wadudu OG wapo uraiani wanamzoom tu na kusema Hiiiiiiii (in JPM voice)
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.
Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.
View attachment 2978991View attachment 2978992View attachment 2978993View attachment 2978994View attachment 2978996