Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Umewahi kuwa mtumishi wa umma au u aisha kwa shemeji maisha yako?
Utumishi wa umma ni mtaji kuelekea kwenye taranta yako, hili usilsahau boss, vinginevyo mtakuwa mkilialia kila mwaka kuomba kuongezewa mshahara!

Unakuta mtu ni Dakitari, badala ya kuwa na angalau na kakituo kadogo ka afya na au Pharmacy ili kuikamilisha taranta yake, yeye anakomaa tu kulialia aomgezwe mshahara, mshahara usipopanda eti anaingia barabarani na au kugoma!

Wanaozitumia vema taranta zao hutowakuta wanalialia kama kina Chakaza
 
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!

View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL

hii ndio picha halisi ya tz..... na tukumbuke arusha inachafuka kwa mtindo mbovu wa malezi na makuzi ya hao vijana...... imagine mgeni anakuja na kuondoka na stori za wadudu kiufupi tunaonekana bado sana
 
Utumishi wa umma ni mtaji kuelekea kwenye taranta yako, hili usilsahau boss, vinginevyo mtakuwa mkilialia kila mwaka kuomba kuongezewa mshahara!
wachache sana wanaelewa hilo ndio maana unakuta wengi wa waajiriwa hawana plan za maisha zaidi ya kuamka asubuh kukimbia kazini na kusubiri weekend wakalewe j3 warudi ofisini
 
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!

View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL



😆😆😆😆
 
Makonda ni msomaji wa Alama za nyakati kisiasa.....anajua nini watu wanataka, na kwa wakati gani!

Anajua watanzania(walio wengi) hasa nyakati hizi za sasa....ni (low minded)Wana akili ndogo!...

Wanapenda Umbea! ,udaku!, vitu vya kijingajinga! Na takataka za kufanana na hizo!....Ndivyo vitu watu wanapenda!....

Hii imemrahisishia sana kutembea na beat....hajawahi toka nje ya key....!

Kwa hili nampa heko sana!

Ni mtu Fulani anaeonekana kama wa hovyo! Hivi....

Lakini makini!....alieweka umakini katikati ya kundi là wajinga! wachache.... Na si kwamba hajitambui! Anajua anachokifanya.
Umefanya breakdown nzr sana.

Wanasiasa wengi wanazidiwa na makonda hapo tu, hata kwenye uenezi ni kwamba chuki/vandeeta ilikua inamzidia hadi anaanza kuvuruga ccm ndanindani, isingekua hvo jamaa angesimamisha nchi nzima
 
Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.

Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.

View attachment 2978991View attachment 2978992View attachment 2978993View attachment 2978994View attachment 2978996
Huyu jamaa ni bogasi sana, empty head kabisa, yaani hapo anafanya kituko gani sasa. Kwa hili SSH amefeli sana.
 
Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.

Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.

View attachment 2978991View attachment 2978992View attachment 2978993View attachment 2978994View attachment 2978996
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom