Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Sio mbunifu nikielelezo cha kuonesha mifumo imefeli au dhaifu kabisa, na niusanii tu ukifuatilia baada ya hapo kero zinazotatuliwa ni less than 1% kwakua mfumo ni dhaifu watu hawako tayari kufanya kazi (demotivated) hivyo bado unaona umuhimu wakua na katiba mpya ili tubadili muundo wetu wa uongozi wananchi wapate huduma katika maeneo husika sio kwa kukusanywa nakudhalilishwa huwezi taka tatua shida za watu nakuchukua vi clip na waandishi wa habari kuvitumia kujijenga! Nonsense kabisa kila mtu akiwa anatekeleza majukumu yake ajirekodi ili aonekane anafanya kazi hiyo haitakua kazi,mtenda haki anafanya kwa matendo sio maneno hivyo huyo jamaa yenu ni muigizaji ndio mana usingae anavyo chukua video kama movie
 
Kiuhalisia ni kwamba hakuna kero yoyote inayotatuliwa.

Huwezi kutatua kero za wananchi kwa kuwaita mmoja mmoja jukwaani kuwauliza kero zao kwenye nchi kama hii yenye watu milioni 60.

Kama kweli Makonda ana nia ya kutatua kero za wananchi, alitakiwa akae na viongozi wenzake wa ngazi za juu waweke MIFUMO THABITI itakayohakikisha kero hizo zinatatuliwa at regional/national level.

Kinyume na hapo ni cheap politics tu.
 
Kwa kuongezea, Makonda hata kama anajua kabisa njia anayoitumia sio sahihi hawezi kukubali kutumia njia sahihi.

Makonda anapenda sana kuita watu mmoja mmoja, tena mbele ya makamera ili SIFA ZOTE ZIRUDI KWAKE aonekane yeye ndio anapambana kusaidia/kutatua kero za wananchi!

Ukimuambia aweke mifumo thabiti hatakubali kwasababu yeye hataonekana tena na sifa zitagawanywa kwa viongozi wote.
 
Kama week hii bando zimeisha arusha.Huwa inavutia na kupata somo zuri jins malalamiko ya wananchi na jinsi yanavotatuliwa.kama jana kisa cha mwalimu beartice aliyepata ruhusa ya masomo lakin maafisa aelimu wake walivomkwamisha kwa roho mbaya,haitosh zaidi wakamnyima mpaka na mshahara,kwa kipind alichokuwa anasoma masters yake,mbaya zaid mshahar kila ukija wanau punch unarudi hazina hapewi wanasema mtoro, unajiuliza hiv hii ni roho mbaya kias gani? Ila yule mama jasiri sana na ana kila supporting doc zake mwisho wa siku kawabanisha mpaka kashinda CMA ,wamlipe malimbikizo yake kwa muda wote.ni kwanin maofisn wakiona unaenda kuongeza elimu huwa hawapend aidha utafanyiwa figisu utatolewa kwenye mpango,ukitaka kujilipia napo shida ruhusa,
So kuna mafunzo meng huwa yanapatikana
 
Ukweli mchungu, thanks
 
Mimi ni shabiki mkuu wa aina ya siasa za watu kama Paul Makonda. nimekuwa nikimshabikia bila woga akiwa kwenye madaraka na alipokuwa nje ya uwanja wa siasa za kitaifa,
kwani kumshabikia mtu kunahitaji uoga au ujasiri?

kumshabikia mtu ni maamuzi yako binafsi kulingana na kile ukipendacho kutoka kwake.

mfano mimi namchukia Makonda, na ni maamuzi yangu.
 
Chadema arusha wamebanwa hawasikiki. Mwananchama mwenzangu bora uje na mbinu mpya hii ipo waz sana.ni kweli arusha hatufurukuti mana tumepoteana,
 
Wivu ukizidi sana hugeuka kuwa nini? Naomba kila atakaye toa jibu hapa amtag Kichuchunge
 
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.

Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.

Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
 
.. Hajawahi kutatua kero...!

Ona huyu naye!

Yawezekana wewe ni punda ama zungu la unga kabisa isee!

Unaweka chuki zako za wazi hadharani ili angalao upoze machungu kidogo au siyo?

Hata mimi ningelikuwa tapeli wa mali za watu na majumba, muuza madawa ya kulevya na fisadi ningelimchukia sana Makonda kwa nmna utendaji wake unanyofukunyua, kubaini na kudhalilisha.
 
Tatizo lake huwa hafikirii mambo!! Wewe kama RC, jambo liko mahakamani, na lingine limeshatolewa hukumu, unawezaje kumsaidia mtu?!!!
Wewe acha uongo na maneno mengi! Makonda kwenye kliniki yake ya kutatua kero za wananchi amewatumia wanasheria wa Tanganyika Law Society! Mnapenda kumwekea maneno mengi na ujinga ujinga mwingi sana!
 
Arusha sisiem yachutama baada ya kubaki utupu...😜
 
Funga mdomo, hunijui. Nipe ushahidi wa alichotatua kikazaa matunda. Hilo la madawa ya kulevya angalau tungeonyeshwa mfano wa wawili au watatu waliofungwa kwa ajili hiyo lakini ziliishia drama tu za kutafuta kiki. Acheni uchawa wa kumfagilia Makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…