Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Kifupi makonda anachofanya ni kujionyesha,bado huna hoja,
ispokua ubinafsi wa mawazo ya kibadharia tu, ambayo mtu makini wala hawezi poteza muda kuskiza wala ku argue sana
Daaah, tatizo ni kubwa zaidi ya nilivokia nafikiriSiku zote huwa nasema WIVU NI UCHAWI. Wewe utamweza Makonda kama tu wazungu walimshindwa. Acha kupoteza muda na Rais wetu wa 2030.
Ndio maana nahofia huu mzaha mzaha wa watu mara paap kawa raisi kweli,Makonda ni mtu hovyo! Nchi inao watu wazuri, watendaji na wasomi kibao. Jana nilisikia watu wanajadiliana samia kwanini anamngβangβania makonda badala ya kufukuzia mbaliβ¦ hana anachokijua na hata personality ya ukuu wa mkoa hana.
Mkuu wewe una ugonjwa wa wivu. Achana na Makonda.Daaah, tatizo ni kubwa zaidi ya nilivokia nafikiri
Dah,Acheni wivu Makonda anafanya kazi nzuri sana Arusha
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
bado ni hoja, maoni na mtazamo binafsi wa kinadharia tu, ambao ni dhaifu na hauna athari wala hauwezi kudhoofisha effots, strategies , focus wala approches anazotumia kutatua changamoto binafsi na za jumla za wananchi, hususan wa ArushaKifupi makonda anachofanya ni kujionyesha,
"Show off" kujifanya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu mkali,
Ni mtu mwenye roho mbaya
Kuliko hata dingi yake aliyepita,
Halafu ni mshamba pia,
Coz anachofanya anataka kila mtu ajue
Ungejiuliza tu swali moja mbona mamlaka ya uteuzi imemuona anafaa sana ???π³πππ€ π€Nimeshangaa sana kuona kuna watu wana imani na huyu Makonda,
Na kwamba eti, ana uchungu sana sana na nchi hii!
Na kwamba eti ni mkuu wa mkoa bora, ni Kiongozi mzuri!
Yote tisa,
Nimeshangaa na nimestuka kuona kuna wanaokwenda mbali zaidi na kudai makonda anafaa kuwa raisi!
Yaani kabisa Raisi wa nchi,
Unajua hebu tuweni serious,
Huu mzaha mzaha ulitumbua usaha kipindi kile tukapata raisi ambaye,
Ilibidi "Mungu" aingilie kati kuokoa watu wake,
Mpaka leo serikali inashindwa hata namna ya kuanza kulipa madai ya wafanyakazi yaliyosimamishwa kwa miaka 7
Ikiwemo kuajiri n.k kutokana na uamuzi mbovu wa mtu mmoja tu,
Leo hii mnaona Kuna mwingine mwenye akili zile zile za KUPENDA SIFA,
mnaanza kumsifia eti ohoo sijui raisi,
Niwakumbushe tu.
MOTO WA KICHAA PIA NI MOTO,
Ndiko tunakoelekea πNdio maana nahofia huu mzaha mzaha wa watu mara paap kawa raisi kweli,
Moto wa kichaa ni moto,
Tuache mzaha na vitu serious
Uzi bora kabisa kuhusu huyu Mtu anaitwa makondaNimeshangaa sana kuona kuna watu wana imani na huyu Makonda,
Na kwamba eti, ana uchungu sana sana na nchi hii!
Na kwamba eti ni mkuu wa mkoa bora, ni Kiongozi mzuri!
Yote tisa,
Nimeshangaa na nimestuka kuona kuna wanaokwenda mbali zaidi na kudai makonda anafaa kuwa raisi!
Yaani kabisa Raisi wa nchi,
Unajua hebu tuweni serious,
Huu mzaha mzaha ulitumbua usaha kipindi kile tukapata raisi ambaye,
Ilibidi "Mungu" aingilie kati kuokoa watu wake,
Mpaka leo serikali inashindwa hata namna ya kuanza kulipa madai ya wafanyakazi yaliyosimamishwa kwa miaka 7
Ikiwemo kuajiri n.k kutokana na uamuzi mbovu wa mtu mmoja tu,
Leo hii mnaona Kuna mwingine mwenye akili zile zile za KUPENDA SIFA,
mnaanza kumsifia eti ohoo sijui raisi,
Niwakumbushe tu.
MOTO WA KICHAA PIA NI MOTO,
Hamna mzungu anamshindwa mtu mweusi. Ondoa kwenye kichwa chako.Siku zote huwa nasema WIVU NI UCHAWI. Wewe utamweza Makonda kama tu wazungu walimshindwa. Acha kupoteza muda na Rais wetu wa 2030.
Labda wazungu wa buzaSiku zote huwa nasema WIVU NI UCHAWI. Wewe utamweza Makonda kama tu wazungu walimshindwa. Acha kupoteza muda na Rais wetu wa 2030.
Kheeh ! Kumbe Buza kuna Wazungu ?? π€ π€ π³Labda wazungu wa buza
Radio na tvMwenye youtube..... asiyekuwa nayo? π
Atakuja kuirudisha TZ kwenye Reli yake π€ π€check approaches zake katikati kufikia conclusions za malengo yake na matarajio ya wanainchi.....
Top Down Approach na Bottom Up Approaches, zinafanyika hadharini mchana kweupe ....
publicity ipi unataka tena?
every media platforms ni Makonda tu. which publicity is more than that?π
ndio maana nasema this gentleman is more than a leader π
that is very important thing πAtakuja kuirudisha TZ kwenye Reli yake π€ π€
Mafisadi Kazi wanayo !
Aliyepandishwa na Mungu hakuna wa kumshusha na Aliyeshushwa na Mungu hakuna wa kumpandisha ππ€ π€ π³
Letβs wait and see what is coming next ππ·
Andiko zuri sana.Nimeshangaa sana kuona kuna watu wana imani na huyu Makonda,
Na kwamba eti, ana uchungu sana sana na nchi hii!
Na kwamba eti ni mkuu wa mkoa bora, ni Kiongozi mzuri!
Yote tisa,
Nimeshangaa na nimestuka kuona kuna wanaokwenda mbali zaidi na kudai makonda anafaa kuwa raisi!
Yaani kabisa Raisi wa nchi,
Unajua hebu tuweni serious,
Huu mzaha mzaha ulitumbua usaha kipindi kile tukapata raisi ambaye,
Ilibidi "Mungu" aingilie kati kuokoa watu wake,
Mpaka leo serikali inashindwa hata namna ya kuanza kulipa madai ya wafanyakazi yaliyosimamishwa kwa miaka 7
Ikiwemo kuajiri n.k kutokana na uamuzi mbovu wa mtu mmoja tu,
Leo hii mnaona Kuna mwingine mwenye akili zile zile za KUPENDA SIFA,
mnaanza kumsifia eti ohoo sijui raisi,
Niwakumbushe tu.
MOTO WA KICHAA PIA NI MOTO,