Chawa akiugulia maumivu baada ya bosi kutoswa.Mheshimiwa GS bila kujua wahuni walikupanga na wewe ukajaa kwenye mfumo
Je, unajua hata wewe nafasi yako wahuni wanaitaka?
Mbona huko nyuma ulikuwa na akili nyingi? Nini kimekukumba.
Kuondoka kwa makonda hakutakunufaisha zaidi ya wewe kuwa kwenye wakati mgumu.
Hiyo nafasi yako wahuni wanaitaka, km ulivyotumika kumhujumu makonda nawe utahujumiwa soon.
Tangu Kinana aondoke kwenye ukatibu Mkuu, CCM haijawahi kuwa na Katibu Mkuu wa maanaMheshimiwa GS bila kujua wahuni walikupanga na wewe ukajaa kwenye mfumo
Je, unajua hata wewe nafasi yako wahuni wanaitaka?
Mbona huko nyuma ulikuwa na akili nyingi? Nini kimekukumba.
Kuondoka kwa makonda hakutakunufaisha zaidi ya wewe kuwa kwenye wakati mgumu.
Hiyo nafasi yako wahuni wanaitaka, km ulivyotumika kumhujumu makonda nawe utahujumiwa soon.
Asilimia 90 ya watanzani wanamkubali makonda. Ndio kiongozi pekee anayejitoa kwaajili ya wananchi wake. Ni kiongozi mwenye uthubutu yupo tayari kupambana na watumishi wazembe na viongozi wala rushwa. Hiyo ndio sababu kuu inanifanya niwe upande wa Makonda.So bure we dada kuna kitu makonda anakufanya, nilikuona wa maana threads zako za nyuma kumbe ni majitaka tu.
Kwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?YESU ANAKUPENDA JE UMESALI KABLA YA KUSHIKA SIMU YAKO ASUBUHI HII MAANA VITA NI KALI View attachment 2963113
Sahivi kuna camera na ulinzi wa kutoshaKwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?
Mtoa mada julaibibi uko sahihi, mtalii hatakiwi kulala akikanyaga ardhi ya Tanzania ni party after party mpaka siku ya kurudi kwao.
Bahati mbaya Arusha ikifika usiku machalii wa hovyo wanatake over mamlaka.
Tena huyo kajitahidi kutoa risiti mimi angelipa 3M angepata risiti ya laki 3 pekee, nchi imeoza wewe piga kaa pembaniDuu yani mtu analipa 3M halafu anapewa risiti ya 1M duu hii nchi ni hatari sana…..
Ulinzi na camera havitasaidia Kama “mindset za machalii wa hovyo hazitofanyiwa reset.Sahivi kuna camera na ulinzi wa kutosha
yesu ndo huyo mwenye damu,hivi alikua anapiga gym naona ma six pack Jux anasubiri.YESU ANAKUPENDA JE UMESALI KABLA YA KUSHIKA SIMU YAKO ASUBUHI HII MAANA VITA NI KALI View attachment 2963113
You are beautiful.Kwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?
Mtoa mada julaibibi uko sahihi, mtalii hatakiwi kulala akikanyaga ardhi ya Tanzania ni party after party mpaka siku ya kurudi kwao.
Bahati mbaya Arusha ikifika usiku machalii wa hovyo wanatake over mamlaka.
Toa hilo pichaYESU ANAKUPENDA JE UMESALI KABLA YA KUSHIKA SIMU YAKO ASUBUHI HII MAANA VITA NI KALI View attachment 2963113
Acha ujuha Yesu hakuwa na Muda wa kutengeneza Six packYESU ANAKUPENDA JE UMESALI KABLA YA KUSHIKA SIMU YAKO ASUBUHI HII MAANA VITA NI KALI View attachment 2963113
Makonda ni mpuuzi tuJana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu
Wangapi wanaijua? Na inatangazwa vyakutosha? Ina nini chakufanya hadi mtu akija Arusha asikose kupita pale?Mtoa mada unavyosema ARUSHA hakuna Museum nzuri au kubwa una uhakika?
Unaijua CULTURAL HERITAGE?
SAWA mkuu! Watu wanapiga tozo zetu na wewe ukipata fursa piga TU!Tena huyo kajitahidi kutoa risiti mimi angelipa 3M angepata risiti ya laki 3 pekee, nchi imeoza wewe piga kaa pembani