Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Mheshimiwa GS bila kujua wahuni walikupanga na wewe ukajaa kwenye mfumo

Je, unajua hata wewe nafasi yako wahuni wanaitaka?

Mbona huko nyuma ulikuwa na akili nyingi? Nini kimekukumba.

Kuondoka kwa makonda hakutakunufaisha zaidi ya wewe kuwa kwenye wakati mgumu.

Hiyo nafasi yako wahuni wanaitaka, km ulivyotumika kumhujumu makonda nawe utahujumiwa soon.
Chawa akiugulia maumivu baada ya bosi kutoswa.
 
Mheshimiwa GS bila kujua wahuni walikupanga na wewe ukajaa kwenye mfumo

Je, unajua hata wewe nafasi yako wahuni wanaitaka?

Mbona huko nyuma ulikuwa na akili nyingi? Nini kimekukumba.

Kuondoka kwa makonda hakutakunufaisha zaidi ya wewe kuwa kwenye wakati mgumu.

Hiyo nafasi yako wahuni wanaitaka, km ulivyotumika kumhujumu makonda nawe utahujumiwa soon.
Tangu Kinana aondoke kwenye ukatibu Mkuu, CCM haijawahi kuwa na Katibu Mkuu wa maana
 
So bure we dada kuna kitu makonda anakufanya, nilikuona wa maana threads zako za nyuma kumbe ni majitaka tu.
Asilimia 90 ya watanzani wanamkubali makonda. Ndio kiongozi pekee anayejitoa kwaajili ya wananchi wake. Ni kiongozi mwenye uthubutu yupo tayari kupambana na watumishi wazembe na viongozi wala rushwa. Hiyo ndio sababu kuu inanifanya niwe upande wa Makonda.
 
Nikiona mtu anamu admire makonda nafsi huwa inaniambia pumbavu lingine hili hapa...
 
Jana nimeona kikao baina ya RC Makonda na wafanyabiashara wa hotel na TRA na tours. RC kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke Ulaya aje kulala badala ya kutalii.

Napenda nitoe ushauri, wakati fulani tulisoma kozi na serikali ya China katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo mengi nchini China utalii unafanyika mpaka usiku. Mfano private tours at night in the city, museums.

Kuna maeneo unapata local food usiku mzima, wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yote tumekonect maji taka.

Kwa Arusha ili jiji liwe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs. Wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia, uliza Arusha kuna Museum inayoeleweka?

Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehemu hizo? Usalama je? Naamini watu wa Arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.

Nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana ideas nyingi za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurudi kwao. Hapo Arusha itapaa kiutalii.

TTB pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko Dodoma kukimbiza madokezo ya poshoook tu.
 
YESU ANAKUPENDA JE UMESALI KABLA YA KUSHIKA SIMU YAKO ASUBUHI HII MAANA VITA NI KALI View attachment 2963113
Kwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?


Mtoa mada julaibibi uko sahihi, mtalii hatakiwi kulala akikanyaga ardhi ya Tanzania ni party after party mpaka siku ya kurudi kwao.

Bahati mbaya Arusha ikifika usiku machalii wa hovyo wanatake over mamlaka.
 
Kwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?


Mtoa mada julaibibi uko sahihi, mtalii hatakiwi kulala akikanyaga ardhi ya Tanzania ni party after party mpaka siku ya kurudi kwao.

Bahati mbaya Arusha ikifika usiku machalii wa hovyo wanatake over mamlaka.
Sahivi kuna camera na ulinzi wa kutosha
 
Kwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?


Mtoa mada julaibibi uko sahihi, mtalii hatakiwi kulala akikanyaga ardhi ya Tanzania ni party after party mpaka siku ya kurudi kwao.

Bahati mbaya Arusha ikifika usiku machalii wa hovyo wanatake over mamlaka.
You are beautiful.
 
Jana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu
Makonda ni mpuuzi tu
 
Museum ya Arusha ambayo unasema hakuna hii hapa..
 

Attachments

  • 20230622_075552.jpg
    20230622_075552.jpg
    2.1 MB · Views: 6
  • 20230622_075557.jpg
    20230622_075557.jpg
    2.6 MB · Views: 6
  • 20230622_075546.jpg
    20230622_075546.jpg
    2.2 MB · Views: 4
  • 20230622_075715.jpg
    20230622_075715.jpg
    2.7 MB · Views: 6
Back
Top Bottom