rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Badala ya kupambana na CCM wanazungumzia mada zisizo na maana kwa upinzani.On a serious note Hawa kina rungwe ndo machawa wakuu wa ccm, nani hajui kua hivyo vyama vyote vishakua ccm b, ikifika chaguzi wanapewa hela na ccm ili nchi ionekane Ina demokrasia kwa kusimamisha vyama 16 vya upinzani kwenye uchaguzi
Alisema wacha wale tozoHuyu Mzee hua ananiacha hoi sana, Kuna siku alihojiwa akaulizwa unazungumziaje hali ya sasa ya maisha ya watanzania.... Akajibu
"Mimi niliwaambia wanichague Mimi wawe wanakula ubwabwa bure na matunda Kila Kona niliwaambia ntawapandia miti wakakataa, waache wapambane"
Haya maneno tu. Uhalisia wanamgwaya.Wanamuogopa? Are you serious?View attachment 2971060
Ukiachana na ujana,Makonda ni jembe na anaweza kuongoza nchiMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewasili kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili.
Makonda ameitikia wito wa kufika mbele ya kamati hiyo kwa barua aliyoandikiwa Aprili 16, 2024 huku sababu za kuitwa kwake zikiwa hazijawekwa wazi.
Awali, Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 kabla ya kusogezwa mbele na kupangwa kufanyika leo Jumatatu, Aprili 22, 2024.
Pia soma
😂 CCM bhanaKuna baadhi ya maeneo watu ni masikini mno na hawajasenda shule. Sisi huku kwetu tulienda wenyewe na magari yetu!! Fanyeni kazi kwa bidii
Sema uongo uko wapi, halafu onesha ukweli.
Unachobisha nini sasa? Hujui kuwa wakati huo miaka ya 1960 wakati Kambona anagombana na Nyerere Mkapa alikuwa Mhariri wa magazeti ya serikali?
Unachosema uongo ni kipi? Kwamba Mkapa hakuwapo serikalini wakati Kambona anagombana na Nyerere?
Kasome kitabu kinaitwa "Nyerere of Tanzania" cha William Edgett Smith, kuanzia ukurasa wa 189 uone habari nzima ilivyotokea na Mkapa alivyoifuatilia na kumuhakikishia Nyerere.
😂😂😂😂😂😂😂😂Zombie ni mzee wako ambae alifanya ngono zembe kupelekea kuzaliwa kwa mpuuzi mmoja kama wewe.
🤣 🤣 🤣Hao wanaomuhoji wote wanamuogopa. Itakuwa kama vile wao ndio wanahojiwa.
Makonda ni zimwi la kufugwa ambalo limekuwa kubwa kuliko wanaomfuga.
Kwa zoom malengo yasingefikiwa.Kwahiyo kawasha v8 kachukua na posho ya safari, siwangemhoji kwa zoom meeting
MweweMakonda jana tulikuwa Leaders kumuaga Captain, hayo mahojiano alifanyiwa kwa zoom?