Kwa hizi I'd fake inawezekan mkuuAu Lukasi ndio Konda?
Acha umbeaHabari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Chama Kimsamehe kwa kosa gani?Habari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Hadi amuombe Lisu msamaha adha waisi, yatamkuta ya kumkuta😡😡😡Habari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Mama sijui ana mpango gani nahuyo Makoo walai!
Alipotajiwa watu aliowaua chini ya utawala wa dhalimu magu na hasa shambulizi lake dhidi ya Lisu, akaambiwa uchunguzi uanze dhidi yake imebidi atulie kwanza, amejua watu hawakawii kuchomoa battery.Habari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Ego aitoe wapi huyu zaidi ya kujipemdekeza apewe vyeoShida ya Makonda ni ego
Kichaa unachougua ni kibaya kuliko hata ugonjwa wa kichaa cha mbwa!Mama ukitaka kuupiga mwingi kwenye uchaguzi wa 2025 hapa Dar es salaam mlete Mh. Paul Makonda jijini hapa.
Inakuaje Arusha kila kukicha wanakamata “media” na “social networks” zote wao tu. Kiufupi tunaihitaji “Boss” mpya atakaelichangamsha jiji letu pendwa. Arusha hawamtaki tuletee sisi huku atuchangamshe na wa huku peleka huko Arusha.
Tuletee watu wanaojua mishe za mjini vizuri, Dar ni wala chips isiyokauka sasa kutuletea wala ugali sio “fair”. Tuletee mtu anaejua kabisa Dar watu wanaamka na kulala muda wowote kulingana na kazi za mtu.