Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Msikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.

hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.

inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.


 
Gazeti la Leo la mwanhalisi limeweka picha yake na makonda nae amelipost gazeti la kubenea
 
Habari wana jamvi?

Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.

Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.

Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.

Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Acha umbea
 
Makonda amepost gazeti la kubenea Sasa hv
 

Attachments

  • Screenshot_20240425-203226.png
    Screenshot_20240425-203226.png
    650.8 KB · Views: 2
Habari wana jamvi?

Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.

Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.

Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.

Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Chama Kimsamehe kwa kosa gani?
 
Mama ukitaka kuupiga mwingi kwenye uchaguzi wa 2025 hapa Dar es salaam mlete Paul Makonda jijini hapa.

Inakuaje Arusha kila kukicha wanakamata “media” na “social networks” zote wao tu. Kiufupi tunaihitaji “Boss” mpya atakaelichangamsha jiji letu pendwa. Arusha hawamtaki tuletee sisi huku atuchangamshe na wa huku peleka huko Arusha.

Tuletee watu wanaojua mishe za mjini vizuri, Dar ni wala chips isiyokauka sasa kutuletea wala ugali sio “fair”.

Tuletee mtu anaejua kabisa Dar watu wanaamka na kulala muda wowote kulingana na kazi za mtu.
 
Habari wana jamvi?

Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.

Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.

Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.

Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Hadi amuombe Lisu msamaha adha waisi, yatamkuta ya kumkuta😡😡😡
 
Habari wana jamvi?

Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.

Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.

Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.

Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Alipotajiwa watu aliowaua chini ya utawala wa dhalimu magu na hasa shambulizi lake dhidi ya Lisu, akaambiwa uchunguzi uanze dhidi yake imebidi atulie kwanza, amejua watu hawakawii kuchomoa battery.
 
Mama ukitaka kuupiga mwingi kwenye uchaguzi wa 2025 hapa Dar es salaam mlete Mh. Paul Makonda jijini hapa.

Inakuaje Arusha kila kukicha wanakamata “media” na “social networks” zote wao tu. Kiufupi tunaihitaji “Boss” mpya atakaelichangamsha jiji letu pendwa. Arusha hawamtaki tuletee sisi huku atuchangamshe na wa huku peleka huko Arusha.

Tuletee watu wanaojua mishe za mjini vizuri, Dar ni wala chips isiyokauka sasa kutuletea wala ugali sio “fair”. Tuletee mtu anaejua kabisa Dar watu wanaamka na kulala muda wowote kulingana na kazi za mtu.
Kichaa unachougua ni kibaya kuliko hata ugonjwa wa kichaa cha mbwa!
 
Back
Top Bottom