Kwa lugha nyepesi nchini makala hawasikiki na wamepoteana siyo.GTs,
Sijamuona Katibu Mkuu cde Dkt Nchimbi na cde Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.
Kwa hiyo ugomvi mnao humohumo?Hamuwavizii kuwaua CHADEMA tena?GTs,
Sijamuona Katibu Mkuu cde Dkt Nchimbi na cde Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.
Hilo jamaa halina mshipa wa aibu, labda ni shoga hilo.Alooooh kulewa pombe ni kawaida kabisa maana hela ninayo.Siyo wewe ni lazima ujitongozeshe Kwa viongozi wa LUMUMBA ndo uishi.Tafuta hela mrembo .UCHAWA SIYO DILI
Huyo jamaa si rizki walahUnamsifia mwanaume mwenziooooo Nina wasiwasi
Hasifii mtu bali matendo, hata wewe najua unakubali kazi za mwamba, jabali, comrade Paulo makonda, kwahiyo punguza makasirikoHivi bro huwezi kuona hata aibu kwa namna unavyomsifia mwanaume mwenzako? Mzee hujui kama unaudhalilisha utu wako? Dah, hii imezidi.
Sana mkuu. Yaani chuki yao kwa Dkt Magufuli haiwasaidii kabisa tena inawapoteza. Halafu leo Dkt Samia angekuweo aisee angechota pointi nyingi sana. Unaambiwa Chongolo kuna kipindi alikuja arusha, yaani watu walilazimishwa kuhudhuria na walifungiwa gate wasitoke ilikuwa aibu sana ila kwa Makonda kila mtu anataka kusikiliza na hakuna anayelalamika. Watakuja kugundua kuwa ukimpinga Makonda unajipinga.Kwa lugha nyepesi nchini makala hawasikiki na wamepoteana siyo.
Hicho chama mfu hakina kabisa madhara, hata ubunge wa Arusha tutauchukua asubuhi mapema kabisa.Kwa hiyo ugomvi mnao humohumo?Hamuwavizii kuwaua CHADEMA tena?
sure,Ndugu zangu Watanzania,
Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.
Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.
Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu Mwamba anajuwa namna ya kupanga shughuli ikafaana na kupendeza.ni kiongozi mbunifu na mwenye nyota kali sana ya kiuongozi.sure,
huyo kijana ni gineaus politically speaking π
ni organizer mahiri sana, halafu zaid sana ni mobilizer mbunifu wa kiwango cha juu mno wa karne hii, hapajawahi kutokea katika historia ya Tanzania π
well done comrade Paul Makonda πͺπ
Acha maneno ya vijiweni kwa wavuta bangi.Huyo jamaa si rizki walah
Samia ameona nongwa kujumuika na Makonda safari hii.Ndugu zangu Watanzania,
Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.
Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.
Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Simsifii bali naongea ukweli juu ya uchapa kazi wake na ubunifu alionao.Unamsifia mwanaume mwenziooooo Nina wasiwasi