Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kaskazini haswa wakristo wengi wana imani wameru wamelaaniwa, kuna watumishi wa Mungu walienda kuwahubiria wakawaua..
 
Masai siyo korofi kama meru
 
Makonda kula nao Shahani Moja hao wanaojita wadudu..

FUTA usafiri wa vipanya katikati ya Jiji...

Masoko wapangwe Kwa mstari

Majengo yapakwe rangi

Usafi
Nk
Hizo ni kazi za halmashauri ya jiji sio kazi yake, just a president stooge
 
Umwamba wake akiwa kifuani mwako tu
 
Ila Arusha ni pa hovyooo mitaa mingi ni uswekeni
 
Haya yote ni upuuuzi mtupu! Kwanza atoke huko hotelini anakoishi kwa gharama za maskini!
 
Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake na ya aina yake.

popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye akianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza ndio waendelee na shughuli zao.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona. Ni jasiri mpaka shetani mwenyewe anamuogopa.

Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkemu Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.

Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza na ni bahati ya kimungu , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.

Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu. Mnauonaje ujasiri wa Mwamba awapo jukwaani na Maiki Mdomoni pake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
 
I have never heard such a fucken utterance from such a stupid politician. Yeye anajiona yupo ikulu. Kuteuliwa tu kuwa mkuu wa mkoa anakuwa na mbwembwe hizi, siku akiteuliwa kuwa Naibu Waziri mbona atajinyea!
 
I have never heard such a stupid utterance from such a stupid politician. Yeye anajiona yupo ikulu. Kuteuliwa tu kuwa mkuu wa mkoa anakuwa na mbwembwe hizi, siku akiteuli2a kuwa Naibu Waziri mbona atajinyea!
It's very stupid indeed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…