Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Sijui na sidhan kama kwa sasa kuna Kiongozi tena Mkuu wa Mkoa tu ambaye anaweza kuwa na Backup ya Viongozi wa Dini kama alivyokua Mh Paul Makonda.

Hakuna na hakuna hakika!!.

Kwakua ukikubalika na Dini ,umekubalika Mbinguni .

Aliyesema Makonda, ndiye yule Ajaye, hakulopoka, alisema haya kwa sababu aliona anafaa na kustahili.
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Wacha Wafu Wazikane...
 
Heri ya makonda mara 1000 kuliko kuwa na Rais rahisi wa aina ya bibi
Ndiyo huu udhalilishaji sasa ambao unamrudia Samia. Maana watu wanajiuliza kama umempa Makonda hiyo nafasi ya u RC je wewe mwenyewe ukoje?
 
Wakati wa mapokezi ya ndege mpya alianza kuongea Dar es Salaam.
Kila akimuona Mheshimiwa Rais anaongea hisia zake.
Au kuna jambo ambalo wameshawahi kuliongea,mbona anakosa kifua kama anataka kufunguka!
Hii ni mara ya pili mbele ya mheshimiwa Rais anawasema Viongozi waliopo Serikalini.(eti wanafiki,leo eti wanawatuma watu wamchafue Rais,siku nyingine Rais akienda tena Arusha hatujui ataongea nini?).

Huyu Ndugu kila akipewa nafasi anataka kuibuia mambo mengine na kuwatengenezea ajali ya kiutendaji/kimadaraka viongozi wengine(rejea Kupewa Ukatibu Uenezi,nafasi Ukatibu Mkuu ikatengenezewa zengwe).

Sasa hatujui amemlenga nani?,ili apate nini?
 
Wakati wa mapokezi ya ndege mpya alianza kuongea Dar es Salaam.
Kila akimuona Mheshimiwa Rais anaongea hisia zake.
Au kuna jambo ambalo wameshawahi kuliongea,mbona anakosa kifua kama anataka kufunguka!
Hii ni mara ya pili mbele ya mheshimiwa Rais anawasema Viongozi waliopo Serikalini.(eti wanafiki,leo eti wanawatuma watu wamchafue Rais,siku nyingine Rais akienda tena Arusha hatujui ataongea nini?).

Huyu Ndugu kila akipewa nafasi anataka kuibuia mambo mengine na kuwatengenezea ajali ya kiutendaji/kimadaraka viongozi wengine(rejea Kupewa Ukatibu Uenezi,nafasi Ukatibu Mkuu ikatengenezewa zengwe).

Sasa hatujui amemlenga nani?,ili apate nini?
Huyu mwamba hata akiwa Mjumbe wa nyumba kumi lazima atambulike tu kuwa yupo,,,, anajua kutumia matukio
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Na huu ndiyo ukweli wenyewe. Makonda yupo kwa mission maalum yenye faida kwa kundi lile,Samia umebugi step sana huyu hana jema kwako.
 
Nawashukuru na nimekusamehe. Nguvu yangu ni pamoja na kuwa na moyo wa kusamehe watu aina yako.
Bora umemkatalia na kumsamehe. Aseme kwamba wewe unaumwa kwani yeye ni daktari wako? Na hata kama ni daktari wako, ameruhusiwa na nani kutoa siri za ....
 
Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
mie nadhani ni miongoni mwa vijana makini, hodari na mahiri sana jukwaani akipata nafasi hasa mbele za watu wengi mashuhuri na wakawaida.


sijapta fursa ya kukaa nae karibu meza moja tukiwa wachache, kuona namna anavyo buni, anavyojadili, anavyojenga hoja au kushauri mipango au masula mbalimbali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi 🐒

kilicho bayana ni kwaamba,
Makonda sio mchoyo na wala hajivungi kusema, kukemea au kushauri kuhusu analojua, analowaza au kuliona. hiyo ni karama ya wazi kabisa aliyonayo huyu muugwana 🐒

udhaifu wake mkubwa ni kushindwa kujizuia au kujidhibiti katika kuweka wazi anayoyajua. Hawezi kabisa kua na kiasi au kujibakiza ananajitoa mazima mazima 🐒

Kiufupi Makonda ni aina ya watu wenye maamuzi magumu regardless ya impacts za maamuzi hayo
he is determined, focused, ambitions and very committed 🐒

Be blessed much gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom