Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,092
- 886
This time sidhani.ccm inajulikana, hasa ikiwa inakaribia kipindi cha uchaguzi... Figisu za hapa na pale, kuraruana makucha, mwisho wa siku lao ni moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This time sidhani.ccm inajulikana, hasa ikiwa inakaribia kipindi cha uchaguzi... Figisu za hapa na pale, kuraruana makucha, mwisho wa siku lao ni moja
Labda yeye ni mtumwa wa rais,ndio alimtuma?Tamko alilotamka Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni tamko mbaya sana na linaleta uchochezi na chuki. Ni aibu kutamka mbele ya kadamnasi ya watu kuwa kuna watu wanamtukana Mhe. Rais. Jambo hili alitakiwa amueleze Mhe. Rais kwa siri kubwa. Mhe. Rais Mkuu wa Mkoa wa Arusha hakufai ni bora umtumbue mapema atakuletea uadui mkubwa na Watanzania. Kikubwa anajipendekeza kwako.
Uliambiwa humu bashite ni kunguru hafugiki ila kwa upumbavu wako hukusikia. Tutatumia rejea hii ya kikwete kumtaka bashite ataje au tumuwajibisheMleta mada ni tapeli tu maana hiyo video ya Mstaafu Kikwete ni ya muda sana .
Mwamba wewe hapo...😂😂Atafutiwe li-pampas likubwa avalishwe huyu bwana.
Asante kwa kumpatia huyo chawa jibu sahihi.Uliambiwa humu bashite ni kunguru hafugiki ila kwa upumbavu wako hukusikia. Tutatumia rejea hii ya kikwete kumtaka bashite ataje au tumuwajibishe
Tume Huru jina. Kweli CCM matapeli.
Hii ya siku nyingi jamani acheni uchonganishiHatimae Paul Makonda amuibua Rais Mstaafu wa awamu ya nne kutokana na matamshi yake kwenye kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine.
Je nini kitafuata baada ya Mzee Kikwete kuyatoa yake ya Moyo
View attachment 2962592
ni??
Naunga mkono hoja, Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la PembeniHuu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Embu toka hapa na wewe si ujitabirie uwe MOHuu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Uliambiwa humu bashite ni kunguru hafugiki ila kwa upumbavu wako hukusikia. Tutatumia rejea hii ya kikwete kumtaka bashite ataje au tumuwajibishe
Wewe na nani?
Nanyi ndio kina “Gang gani? Maana tunayo Sukuma, Msoga, Chawa wa Mama…ninyi yenu inaitwaje?
Hivi inawezekana kabisa?Mtoa mada unatumika vibaya, na Makonda akija kuwa Rais wote mtakimbia hii nchi.
Pamoja na hayo, ujumbe umefika.