Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Wadau mtaniwia radhi kwa hili,

Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.

Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu Pierre liquid(pale Mlimani city kwenye kongamano la mtoto wa kike) akisema:

"HATUWEZI KUWA NA TAIFA AMBALO LINA-PROMOTE WATU HOVYO, WANAKUWA HADI MA-BRAND AMBASSODOR... HALAFU UNATEGEMEA WATOTO WETU WATAFIKIA KWENYE MAFANIKIO??

Mimi nilielewa alikuwa akiwakosoa na kuwashambulia watu waliokuwa wanam-brand na kumprote kwa sababu alikuwa mlevi na comedian.

View attachment 2978301


Picha linageuka,

Leo ni yeye huyuhuyu anawapromote na kuwabrand wadudu/machalii wa Arusha akisema:
"HAWA WADUDU NI JINA, NI BRAND, MKOA HUU NINA KILA AINA YA VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI ........"


View attachment 2978302

Sasa hawa wadudu wana tofauti gani na Pierre wa wakati ule?

Amesahau? Au ndo siasa ilivyo?
Wadau mtaniwia radhi kwa hili,

Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.

Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu Pierre liquid(pale Mlimani city kwenye kongamano la mtoto wa kike) akisema:

"HATUWEZI KUWA NA TAIFA AMBALO LINA-PROMOTE WATU HOVYO, WANAKUWA HADI MA-BRAND AMBASSODOR... HALAFU UNATEGEMEA WATOTO WETU WATAFIKIA KWENYE MAFANIKIO??

Mimi nilielewa alikuwa akiwakosoa na kuwashambulia watu waliokuwa wanam-brand na kumprote kwa sababu alikuwa mlevi na comedian.

View attachment 2978301


Picha linageuka,

Leo ni yeye huyuhuyu anawapromote na kuwabrand wadudu/machalii wa Arusha akisema:
"HAWA WADUDU NI JINA, NI BRAND, MKOA HUU NINA KILA AINA YA VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI ........"


View attachment 2978302

Sasa hawa wadudu wana tofauti gani na Pierre wa wakati ule?

Amesahau? Au ndo siasa ilivyo?
JF imepoteza kqbisa GT !
Hivi shule bado tu hazijafunguliwa?
 
Hiyo podium hapo imeandikwa zero.

Waliweka makusudi sababu Makonda alipata zero kidato cha nne au nimeona vibaya?
 
Makonda anachofanya ni kutaka kubadilisha mentality za wadudu.. Kuwa watu positive kwenye jamii ndio maana kuna mahali aliwaambia hata jina wabadilishe. Hajasapoti itikadi zao ambazo jamii wanaamini na kufahamu wanazifanya.. Ni contrary kabisa na case ya Pierre Liquid.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hoja zimekushinda umeanza personal attacks.Na ndio kawaida kwa wakosa hoja hukimbilia kumjadili mtu badala ya mada.
 
Bora liquid alikuwa anachangia kodi kupitia TBL, hao wadudu wamevaa tye za pikipiki sijui wanachangia nini
 
Ninyi ndio huwa mnapakatwa na kusokomezewa vitu vigumu makalioni .
Yaani jitu zima na nywele mpaka kwenye pumbu unakaa kusifia wanaume wenzako hao mataahira wa ccm
Acha uchoko jinga we
Kufa tu kama una hasira .kunywa hata sumu ya panya UFE kabisa
 
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba, hao wa dudu Wana adirishwa ili wawe watu wa maana, na mda so mrefu utaakutana nao wakiwa watu wa maana kabisa.

Piere alikuwa ana promotiwa kuwa mrevi.

Vitu tofauti.
Ukisema "wadudu wanadirishwa ili wawe watu wa maana," unamaanisha kwa sasa ni watu wa hovyo. Na ndo ukweli upo hivyo.

Na kwakuwa pierre naye alikuwa mtu wa hovyo, kwanini asingeadirishwa ili awe mtu wa maana.
 
Taarifa imetoka watu kumbe walipigwa mkwara kuhudhuria na kutakuwepo na daftari la mahudhurio asiyetokea asimlaumu mtu maana usafiri umetolewa bure.

Halafu chawa mjinga unatuletea propaganda za zero brain.

Wewe ninaamini pia ulipata 0 kama Makonda kidato cha nne maana tofauti yenu ni ndogo sana.
 
Wadau mtaniwia radhi kwa hili,

Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.

Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu Pierre liquid(pale Mlimani city kwenye kongamano la mtoto wa kike) akisema:

"HATUWEZI KUWA NA TAIFA AMBALO LINA-PROMOTE WATU HOVYO, WANAKUWA HADI MA-BRAND AMBASSODOR... HALAFU UNATEGEMEA WATOTO WETU WATAFIKIA KWENYE MAFANIKIO??

Mimi nilielewa alikuwa akiwakosoa na kuwashambulia watu waliokuwa wanam-brand na kumprote kwa sababu alikuwa mlevi na comedian.

View attachment 2978301


Picha linageuka,

Leo ni yeye huyuhuyu anawapromote na kuwabrand wadudu/machalii wa Arusha akisema:
"HAWA WADUDU NI JINA, NI BRAND, MKOA HUU NINA KILA AINA YA VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI ........"


View attachment 2978302

Sasa hawa wadudu wana tofauti gani na Pierre wa wakati ule?

Amesahau? Au ndo siasa ilivyo?
Kamati ya maadili imemnyoosha ajaribu ujinga wake tena aone...
 
GTs,
Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.

Hivi unajua Meimosi Arusha ilikuwa Kitaifa hivyo issue ya makonda haikuwepo pale...
Ingekuwa imefanywa kimkoa kama walivyofanya mikoa mingine ndipo ungeweza kutia neno.
Nafikiri wengi walikwenda pale kutegemea kumuona Mama live akizungumzia hoja za wafanyakazi likiwemo hili ya Kikokotoo ambalo ni moja ya habari ya mjini kwa sasa....
 
Wadau mtaniwia radhi kwa hili,

Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.

Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu Pierre liquid(pale Mlimani city kwenye kongamano la mtoto wa kike) akisema:

"HATUWEZI KUWA NA TAIFA AMBALO LINA-PROMOTE WATU HOVYO, WANAKUWA HADI MA-BRAND AMBASSODOR... HALAFU UNATEGEMEA WATOTO WETU WATAFIKIA KWENYE MAFANIKIO??

Mimi nilielewa alikuwa akiwakosoa na kuwashambulia watu waliokuwa wanam-brand na kumprote kwa sababu alikuwa mlevi na comedian.

View attachment 2978301


Picha linageuka,

Leo ni yeye huyuhuyu anawapromote na kuwabrand wadudu/machalii wa Arusha akisema:
"HAWA WADUDU NI JINA, NI BRAND, MKOA HUU NINA KILA AINA YA VIJANA WENYE VIPAJI MBALIMBALI ........"


View attachment 2978302

Sasa hawa wadudu wana tofauti gani na Pierre wa wakati ule?

Amesahau? Au ndo siasa ilivyo?
ukiwa mgeni katika siasa utajaza makumbukumbu ya political stataments mengi mno kwenye librabry yako, lakini pia lazma upate tabu kidogo kuelewa siasa.....

hata hivyo,
48 laws of power ukiielewa vema wala huwezi babaika na dynamics of politics in both national and Internationale levels....

by the way,
if you can"t fight them join them unakua umemaliza mchezo :DisGonBGud:
 
Kwani ubaya ni kupromote ulevi tu.
Kwani mada ni nini?Makonda alikemea ulevi kupromotiwa kwenye suala la Liquid!
Ulitaka azungumzie jambo lisilokuwa muafaka kwenye hiyo mada?
Shule mlikwenda kufanya nini?
 
Yaani kama ningekuwa mtu wa siasa ningeichukua video ya wadudu wa R chuga wakiingia uwanjani leo Meimosi, then nikaimute sauti halafu nikaipandishia juu yake sauti ya mheshimiwa alipokuwa akimpa makavu Pierre liquid pale mlimani city ili niwe najiburudisha.
Kumbe Hauna akili.
 
Waliojaa ni wafanyakazi ambao pale uwanjani ni sehemu ya kazi zao.

Ulitaka wafanyakazi wasiende uwanjani wafukuzwe kazi na bosi wao..??
 
GTs,
Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.
huyo konda aanzishe chama chake,akiwa ndani ya ccm ni mwepesi sana wazee wanamzoom tu
 
Ukisema "wadudu wanadirishwa ili wawe watu wa maana," unamaanisha kwa sasa ni watu wa hovyo. Na ndo ukweli upo hivyo.

Na kwakuwa pierre naye alikuwa mtu wa hovyo, kwanini asingeadirishwa ili awe mtu wa maana.
Swali zuri sana.

Piere alichagua kuwa hivyo. Ilibidi akemewe ili abadilike.
 
Back
Top Bottom