Paul Makonda unatakiwa ujifunze na ujitafakari sana

Paul Makonda unatakiwa ujifunze na ujitafakari sana

Paul Makonda wanaDar es Salaam wanamhitaji sana sema wewe ndio unachuki naye. Mkoa wa Dar ni wa Paul Makonda.
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
Kitu pekee ambacho ninajifunza katika hii dunia ni kwamba kila nifanyalo ni lazima lipite, itakua "ilishakuwa". Kiufupi ili uendelee kufurahia maisha katika hii dunia tendwa wema wenzako, tenda haki, jiepushe na arrogance (kibri na majivuno).

Paul Makonda aliyekabidhiwa mkoa mkubwa wenye population kubwa kama Dar es salaam leo hii yupo benchi anasugua miguu kweli? Huyu mtu naona si bure kuna mengi ambayo si mazuri alifanya nyuma ya pazia ambayo anayajua yeye na Mungu wake pamoja wanaomjua kiundani. Kama tunaambiwa kua Sabaya ni cha mtoto kwa huyu jamaa, hivi kwake ilikuaje?

Yaani unafikia mapaka hatua ya kuwekewa kikwazo na taifa la Marekani wewe si wa kawaida, unaambiwa inanyima watu haki yao ya kuishi maana yake nini? Yawezekana kabisa hata mamlaka zinaona kabisa haifai kabisa huyu mtu kumpa hata ukuu wa Wilaya.

Yawezekana kabisa mamlaka zimemkataa huyu bwana kwa matendo na tabia zake, kumpa mamlaka tena ni kumrudisha kule kule alikokuwa akifanya. Mtu unafikia hadi kuomba kibali hadharani kwa mkuu wa nchi kuwashughulikia wanaomkosoa?

Makonda hakuona shida kuwakejeli mawaziri na hata kuwachongea kwa Rais. Huyu alikua RC tu, angekua hata Waziri ingekuwaje?

Tujifunze kua kibri,dharau na majivuno kwa binadamu wenzako si kitu.
Wewe hangaikia lishe yako na wanao.
Huyo Makonda nakushauri uachane nae sio msugua benchi kama unavyofikiria wewe na wenzio.
Maisha aliyo nayo kwa sasa hata mawaziri Hawanayo.
Na anao ulinzi wa kutosha na anakula bata full time.
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
maliyamumgu

Isaac_Maliyamungu.jpg
EYiMZcuXsAAN0tk.jpg
1633830238905.jpeg
1968-uganda-maliyamungu-colonel-isaac-maliyamungu-uganda-army-officer-F64P9K.jpg
 
Kitu pekee ambacho ninajifunza katika hii dunia ni kwamba kila nifanyalo ni lazima lipite, itakua "ilishakuwa". Kiufupi ili uendelee kufurahia maisha katika hii dunia tendwa wema wenzako, tenda haki, jiepushe na arrogance (kibri na majivuno).

Paul Makonda aliyekabidhiwa mkoa mkubwa wenye population kubwa kama Dar es salaam leo hii yupo benchi anasugua miguu kweli? Huyu mtu naona si bure kuna mengi ambayo si mazuri alifanya nyuma ya pazia ambayo anayajua yeye na Mungu wake pamoja wanaomjua kiundani. Kama tunaambiwa kua Sabaya ni cha mtoto kwa huyu jamaa, hivi kwake ilikuaje?

Yaani unafikia mapaka hatua ya kuwekewa kikwazo na taifa la Marekani wewe si wa kawaida, unaambiwa inanyima watu haki yao ya kuishi maana yake nini? Yawezekana kabisa hata mamlaka zinaona kabisa haifai kabisa huyu mtu kumpa hata ukuu wa Wilaya.

Yawezekana kabisa mamlaka zimemkataa huyu bwana kwa matendo na tabia zake, kumpa mamlaka tena ni kumrudisha kule kule alikokuwa akifanya. Mtu unafikia hadi kuomba kibali hadharani kwa mkuu wa nchi kuwashughulikia wanaomkosoa?

Makonda hakuona shida kuwakejeli mawaziri na hata kuwachongea kwa Rais. Huyu alikua RC tu, angekua hata Waziri ingekuwaje?

Tujifunze kua kibri,dharau na majivuno kwa binadamu wenzako si kitu.
Kwa kupandisha huu uzi tayari umemsaidia angalau kupata nafasi ya kutajwa.
 
Kweli kila zama na kitabu chake, jamaa kweli alikuwa "Mkuu" wa mkoa ilikuwa kama hutakiwi kuwa ndani ya mkoa wake hata kama hakujui ila by association hutakiwi kuwepo aisee utatafuta njia mwenyewe uondoke[emoji125][emoji125][emoji125]
Jamaa ni katili sana kuliko hata Amin
 
Ninacho jua sababu kuu ya Marekani kumpiga ban ni baada ya yeye kuwashikia njuga mashoga kama wewe.

Sio ninyi mliokuwa mnapiga kelele kuwa ana vyrrti deli atolewe. Amesha tolewa tena mnashangaa eti kwanini hateuliwi.

Hii nchi ni ngumu Sana
Yaani shoga hawapendani
 
Duh,mbinguni tutaingia wachache sisi,ngoja niwahi nikawakute mabikira wangu uko
Na kwa maandishi ya Kiislam tunaambiwa tutapewa nguvu ya kutumia mizigo mia kwa siku ila unapewa uchape 60 hii ya arobaini unabaki nayo tu-by Shekh Kipozeo mwanazuoni nguli wa Dini ya Kiislam na Mwalimu mashukhuri katia mihadhara adhimu ya kidini.
 
Sielewi mantiki ya mada yako.

Umekuja kumpgia kampeni huyo mtu wako kupitia hapa hapa JF ili wakubwa wasimsahau au unatakaje?

Huyo Bashite naye ni mtu mwenye hadhi ya kuanzishiwa mada hapa JF ili watu wapoteze muda kumjadili; halafu iweje?

Mbona JF limekuwa kama jalala siku hizi!
Asante sana mkuu kwa kugundua hili
 
Andhani yaliisha? Hata ajikalishe kimya watu wanapima upepo. Jinai haifi hata baada ya miaka 50 awe Uswisi awe Urusi atakuwa Deported tu.

Alishalikoroga hata kaa apate amani maishani
Hata vilio na machozi ya familia mbali mbali vitazidi kumuandama maishani mwake
 
Mwenye mkoa wa daresalaam,alikataza watu kujenga nyumba zenye ma paa marefu kwenye mkoa wake.
 
Back
Top Bottom