Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Paul Makonda wanaDar es Salaam wanamhitaji sana sema wewe ndio unachuki naye. Mkoa wa Dar ni wa Paul Makonda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paul Makonda wanaDar es Salaam wanamhitaji sana sema wewe ndio unachuki naye. Mkoa wa Dar ni wa Paul Makonda.
Wewe hangaikia lishe yako na wanao.Kitu pekee ambacho ninajifunza katika hii dunia ni kwamba kila nifanyalo ni lazima lipite, itakua "ilishakuwa". Kiufupi ili uendelee kufurahia maisha katika hii dunia tendwa wema wenzako, tenda haki, jiepushe na arrogance (kibri na majivuno).
Paul Makonda aliyekabidhiwa mkoa mkubwa wenye population kubwa kama Dar es salaam leo hii yupo benchi anasugua miguu kweli? Huyu mtu naona si bure kuna mengi ambayo si mazuri alifanya nyuma ya pazia ambayo anayajua yeye na Mungu wake pamoja wanaomjua kiundani. Kama tunaambiwa kua Sabaya ni cha mtoto kwa huyu jamaa, hivi kwake ilikuaje?
Yaani unafikia mapaka hatua ya kuwekewa kikwazo na taifa la Marekani wewe si wa kawaida, unaambiwa inanyima watu haki yao ya kuishi maana yake nini? Yawezekana kabisa hata mamlaka zinaona kabisa haifai kabisa huyu mtu kumpa hata ukuu wa Wilaya.
Yawezekana kabisa mamlaka zimemkataa huyu bwana kwa matendo na tabia zake, kumpa mamlaka tena ni kumrudisha kule kule alikokuwa akifanya. Mtu unafikia hadi kuomba kibali hadharani kwa mkuu wa nchi kuwashughulikia wanaomkosoa?
Makonda hakuona shida kuwakejeli mawaziri na hata kuwachongea kwa Rais. Huyu alikua RC tu, angekua hata Waziri ingekuwaje?
Tujifunze kua kibri,dharau na majivuno kwa binadamu wenzako si kitu.
Kwa kupandisha huu uzi tayari umemsaidia angalau kupata nafasi ya kutajwa.Kitu pekee ambacho ninajifunza katika hii dunia ni kwamba kila nifanyalo ni lazima lipite, itakua "ilishakuwa". Kiufupi ili uendelee kufurahia maisha katika hii dunia tendwa wema wenzako, tenda haki, jiepushe na arrogance (kibri na majivuno).
Paul Makonda aliyekabidhiwa mkoa mkubwa wenye population kubwa kama Dar es salaam leo hii yupo benchi anasugua miguu kweli? Huyu mtu naona si bure kuna mengi ambayo si mazuri alifanya nyuma ya pazia ambayo anayajua yeye na Mungu wake pamoja wanaomjua kiundani. Kama tunaambiwa kua Sabaya ni cha mtoto kwa huyu jamaa, hivi kwake ilikuaje?
Yaani unafikia mapaka hatua ya kuwekewa kikwazo na taifa la Marekani wewe si wa kawaida, unaambiwa inanyima watu haki yao ya kuishi maana yake nini? Yawezekana kabisa hata mamlaka zinaona kabisa haifai kabisa huyu mtu kumpa hata ukuu wa Wilaya.
Yawezekana kabisa mamlaka zimemkataa huyu bwana kwa matendo na tabia zake, kumpa mamlaka tena ni kumrudisha kule kule alikokuwa akifanya. Mtu unafikia hadi kuomba kibali hadharani kwa mkuu wa nchi kuwashughulikia wanaomkosoa?
Makonda hakuona shida kuwakejeli mawaziri na hata kuwachongea kwa Rais. Huyu alikua RC tu, angekua hata Waziri ingekuwaje?
Tujifunze kua kibri,dharau na majivuno kwa binadamu wenzako si kitu.
Huyu ni sawa na Maliya Mungu wa uganda .Dikteta alikuwa anampa kiburi
Tanzania tungekuwa na utawala bora wa kweli huyu jamaa sasa hivi angekuwa ukonga kitamboAnajuta sana, siku yake itafika tuu
Mwisho wa siku waliunganishwa na jiwe maana wote ni sukuma gangSema gwajiboy alimnyoosha sana jamaa mpaka akamwaga chozi kwenye halaiki kweupee...
Sidhani kama hata majirani zake wanajivunia kuwa naye sehemu mojaUongozi ni koti la kuazima. Nadhani sasa anajifunza japo ameshachelewa
Jamaa ni katili sana kuliko hata AminKweli kila zama na kitabu chake, jamaa kweli alikuwa "Mkuu" wa mkoa ilikuwa kama hutakiwi kuwa ndani ya mkoa wake hata kama hakujui ila by association hutakiwi kuwepo aisee utatafuta njia mwenyewe uondoke[emoji125][emoji125][emoji125]
Hasa ukifuatilia hata watoto wake walivyo patikanaMwamba si naskia alikuwa papai bovu[emoji28]
Yaani shoga hawapendaniNinacho jua sababu kuu ya Marekani kumpiga ban ni baada ya yeye kuwashikia njuga mashoga kama wewe.
Sio ninyi mliokuwa mnapiga kelele kuwa ana vyrrti deli atolewe. Amesha tolewa tena mnashangaa eti kwanini hateuliwi.
Hii nchi ni ngumu Sana
Hana akili za kumuwezesha kupata hata certificateBado mnamfata fata tu? Nasikia anasoma Masters huko Moshi sijui Arusha
Na kwa maandishi ya Kiislam tunaambiwa tutapewa nguvu ya kutumia mizigo mia kwa siku ila unapewa uchape 60 hii ya arobaini unabaki nayo tu-by Shekh Kipozeo mwanazuoni nguli wa Dini ya Kiislam na Mwalimu mashukhuri katia mihadhara adhimu ya kidini.Duh,mbinguni tutaingia wachache sisi,ngoja niwahi nikawakute mabikira wangu uko
Umeonaeee?maliyamumgu
Umeonaeee?maliyamumgu
Asante sana mkuu kwa kugundua hiliSielewi mantiki ya mada yako.
Umekuja kumpgia kampeni huyo mtu wako kupitia hapa hapa JF ili wakubwa wasimsahau au unatakaje?
Huyo Bashite naye ni mtu mwenye hadhi ya kuanzishiwa mada hapa JF ili watu wapoteze muda kumjadili; halafu iweje?
Mbona JF limekuwa kama jalala siku hizi!
Hata vilio na machozi ya familia mbali mbali vitazidi kumuandama maishani mwakeAndhani yaliisha? Hata ajikalishe kimya watu wanapima upepo. Jinai haifi hata baada ya miaka 50 awe Uswisi awe Urusi atakuwa Deported tu.
Alishalikoroga hata kaa apate amani maishani