KIBIKIMUNU
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 330
- 254
Naweza kumsamehe Paul makonda Ila sio CYPRIAN MUSIBA........MUSIBA ALIWAKEJELI SANA WASTAAFU WETU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaaa we mungu ssa umekuwa du unaumia na maisha ya mtu ambae hata hakuhusu kwa chochote kila pole mkurungwaHata kama analindwa na ccm lakini kabla ajaondoka duniani ni lzm atalipa alotenda.
Kwa hasira Ili kumliwaza mwanae kipenzi Ili kumpooza na dozi za gwajiboy, baba yake akaamua kuwafukuza watu Kazi zaidi ya elf kumi kwa uonevu Mkubwa bila kujali mchango wao waliojitoa kutumikia taifa.Kama sio uonevu mbona majeshini akuwagusa.Sema gwajiboy alimnyoosha sana jamaa mpaka akamwaga chozi kwenye halaiki kweupee...
Sio kweli Ingekuwa ni mashoga ulaya yote angepigwa ban.Ishu kubwa alikuwa na misheni ya kwenda kumdhuru mange enzi hizo zama za mange yupo juu kabla ya kigogo.Ninacho jua sababu kuu ya Marekani kumpiga ban ni baada ya yeye kuwashikia njuga mashoga kama wewe.
Sio ninyi mliokuwa mnapiga kelele kuwa ana vyrrti deli atolewe. Amesha tolewa tena mnashangaa eti kwanini hateuliwi.
Hii nchi ni ngumu Sana
Anatukumbushia tu kuwa huyu 'Faili' lake bado lipo na linafanyiwa upembuzi yakinifu.!Sielewi mantiki ya mada yako.
Umekuja kumpgia kampeni huyo mtu wako kupitia hapa hapa JF ili wakubwa wasimsahau au unatakaje?
Huyo Bashite naye ni mtu mwenye hadhi ya kuanzishiwa mada hapa JF ili watu wapoteze muda kumjadili; halafu iweje?
Mbona JF limekuwa kama jalala siku hizi!
By experience ye sio wa kwanza,katembea mle mle dunia imewekwa kwenye misingi ukiikosea ni lzm itakuhukumu hata wewe jaribu kukiuka misingi ya dunia utapata mrejesho.Jamaaa we mungu ssa umekuwa du unaumia na maisha ya mtu ambae hata hakuhusu kwa chochote kila pole mkurungwa
Hha kalunya sawa si umesema wwBy experience ye sio wa kwanza,katembea mle mle dunia imewekwa kwenye misingi ukiikosea ni lzm itakuhukumu hata wewe jaribu kukiuka misingi ya dunia utapata mrejesho.
Jinai haifii.Unataka ajifunze nini sasa we nae , umemuona ana shida gani ? Kama ni ofsi aliamua kuiacha mkae nayo , ametulia zake Kwa aman, mnaanza chokochoko ....Hana shida na teuzi angekuwa na shida ungemuons anaongea huku na kule ,
Siku zikifika ulinzi sio chochoteWewe hangaikia lishe yako na wanao.
Huyo Makonda nakushauri uachane nae sio msugua benchi kama unavyofikiria wewe na wenzio.
Maisha aliyo nayo kwa sasa hata mawaziri Hawanayo.
Na anao ulinzi wa kutosha na anakula bata full time.
Ccm ulinda wahalifu.Tanzania tungekuwa na utawala bora wa kweli huyu jamaa sasa hivi angekuwa ukonga kitambo
Au SAwa na mustafa wa abacha aliogopwa zaidi ya abacha.Huyu ni sawa na Maliya Mungu wa uganda .
Laws of natureHha kalunya sawa si umesema ww
Sidhani kama kama alikuwa amefika level hiyo. Na kama huo mpango ulikuwepo basi aaingeenda yeye.Sio kweli Ingekuwa ni mashoga ulaya yote angepigwa ban.Ishu kubwa alikuwa na misheni ya kwenda kumdhuru mange enzi hizo zama za mange yupo juu kabla ya kigogo.
Ban ni kwa sababu ya mange na sio mashoga.