Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

Huyu jamaa si alipata 0.. kwanza kumuacha aongee na watoto wa shule sio vizuri kwa afya ya akili ya hao watoto.. atawaambukiza ujinga..

Kama ni muhimu sana kuongea na watoto basi wangeweka hata barrier 😂 asije kuwaambukiza 0
Kama mimba inaambukizwa basi hata Zero inaambukizwa,na yeye azuiwe asisogelee watoto wanaosoma maana atawaambukiza zero!
 
Mimba uingia kwa vyanzo vingi ikiwemo kubakwa ,kulagaiwa usafiri wa bodaboda hasa vijijini,tunapiga vita mimba lakini tusiwanyime haki ya elimu waliopata bila kutarajia
 
Yeye mwenyewe Makonda ni Gay. Watu wanakamua tu
Una ushahidi, au kwa vile upo nyuma ya keyboard tu?!

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Mpumbavu kweli huyu Makonda..

Pesa siyo za Magufuli ..ni Kodi za Watanzania..Kodi tulipe sisi Watoto wetu waitwe Mizigo?!!!

Pumbavu sana Huyu Makonda.
Kweli ni mpumbav aliyeshiba madaraka,anabwabwaja utafikiri pesa ni zake na babake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…