Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

Yani bora hata apewe maalim seif yule wa zanzibar
 
Robert kiboko ya madikteta naona wakuu wa dunia wamepanga kuyafurusha madikteta ili kumkomboa mwafrika asiuwawe
 
"he can guarantee nothing" sasa si atulie tu,ni kanafanya mambo kaonekane na kenyewe kamefanya

hakafanyi kwa lengo la kuhakikisha anapata anachoamini ni haki yake ila anafanya nayeye aonekane kafanya

huyu nae ni mtu wa kumuweka kwenye list,mpenda sifa mpenda kuonekana hebu acheni kumpaisha for nothing.
 
Ivi Unamaanisha Unachoandoka We Jombaa?? Umekula nini Wakati unaandika Shubamit ivi huyu Anaetetea Watu Wenye Anatarget wakiwa Ma prezooo wamlipe unasema ako credible
 

Ivi Unamaanisha Unachoandoka We Jombaa?? Umekula nini Wakati unaandika Shubamit ivi huyu Anaetetea Watu Wenye Anatarget wakiwa Ma prezooo wamlipe unasema ako credible

Haha Dr Bill huyu Salary Slip atakua kwenye lile kundi la wanaume wendawazimu kwa mujibu wa post ya GENTAMYCINE tumshauri afate ushauri ANATAKIWA KULIA SANA ili aweze kupona

 
What a stupid idea! Waafrika gani hao, kina salary slip? Kweli kuna watu Afrika, sasa huyu sijui huko shuleni alikwenda kufanya nini.
Wananchi tutaachana na wazungu kina Bob Amsterdam pale tu CCM nayo itakapovunja ndoa yao na polisi.

Trade off.

Salary Slip
 
@ mama D ninecheka sana Kuna Watu humu hawawizi kwa kutumia Mbogo😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣kakarupuka kama Ushuzi Eti Apewe Tuzoo Tuzo gani Ya USHOGA au
 
Rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…