Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Fundi ujenzi kafanya yakeKwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.
Nitaleta update zaidi.
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
Wasukuma wanapenda kizembe sanaUmasikini ndio unafanya watu kupenda sana hadi kuua mwanamke. Unaweza kuzifuma pesa ukawekeza kwa mwanamke ila kwa vile umasikini uko kwenye damu yako ndio hayo unaweza kufanya kwa kupata msongo wa mawazo. Ndio maana masikini uwa wakipata papuchi wanaichuchumia hadi bao 3 hivi. Tajiri hawana muda huo ukiwasaliti wanaanza kwingine na ka goli kao uwa kamoja tu. Matajiri uwa hata hawachukii wanawake wanaowasaliti maana wanajua hio papuchi ni yao wakiitaka tu.
Hauna hata picha yake mkuu?
Utavuna ulichopanda ni msemo maarufu wa kiswahili.
Evidence ipo, wanaume wengi wanahudumia wanawake na ndio sababu inawafanya waumie zaidi wakiachwa au kusalitiwaKwanza kabisa hiyo sababu yako haina sourcing wala statistical evidence.
Umeitoa tu kama opinion yako.
Ndiyo maana nimekunukuuu wewe.
Mpaka sasa hujaweza kuitetea.
Huyo fundi ujenzi ndo alikua bwana ake?Fundi ujenzi kafanya yake
YaaapHuyo fundi ujenzi ndo alikua bwana ake?
Sasa nikikunukuu wewe uliyeleta hiyo habari hapa na kusema hao wanaume waache huo ujinga kwa nini wewe unaona kama nakuambia hivyo wewe?Evidence ipo, wanaume wengi wanahudumia wanawake na ndio sababu inawafanya waumie zaidi wakiachwa au kusalitiwa
Mtu anakumbuka huduma, pesa alizowekeza kwa mwanamke maumivu yanawazidia
Inahitaji mtu mwenye moyo mgumu kuweza kukabili hizo hisia za uchungu
Wenye moyo mdogo ndio hawa wanaotoa uhai wa wenzao.
Unasambaza sumu kwenye jamii its not okey kwanini umuue hata afanye kosa gani, let her GO, Wanasema jambo gumu kwa mwanadamu ni ku control hisia na ni kweli ukiweza kumudu kuzi control hisia zako maisha yako yatakua mazuri sanaIf she cheated it is ok to eliminate her.
Rudi mpaka kwenye ujumbe wako ulioniquote umeniambia mimi directSasa nikikunukuu wewe uliyeleta hiyo habari hapa na kusema hao wanaume waache huo ujinga kwa nini wewe unaona kama nakuambia hivyo wewe?
Wewe ni mmoja wao?
Kwani Ukiuza Grocery hana haki ya kuwa na Mtu?Yaan watu wengine wanajitafutia matatizo tu sasa demu anauza glocery we nae unamwita demu wako wakati yule ni malaya...hv mteja kalipa bill lak 3 ataacha kumpongeza mteja wake?...yaan mbususu ipo sokoni we unataka iwe yako peke yako inawezekanaje?
Ila fundi ujenzi angetafuta wa level zake.hata wahaendaniYaaap
Rate kubwa ya wanawake wengi wanaovunja ndoa au kuuawa wanatoka pia kanda ya kaskazini hasa moshi arusha na singida chunguza hiloWasukuma wanapenda kizembe sana
Huku tunajichagulia tu , kina Jessica alba , Charlize therom, Aishwarya rai, na priyanka chopra tushapiga sna mkuu .Kijana achana na hicho kigroup cha mchongo ukuje uone vile Mungu ameumba vitu vitamu π
Hawa ndiyo wanaitwa ma-papa ya mji. Nadhani wengi mnaelewa kuwa samaki papa hawezi kuliwa na mtu mmoja na akaisha. Anakatwa vipande vidogo vidogo halafu kila mwenye fedha ananunua na kujilia. Ajabu kuna mtu anataka amle papa wenyewe.Huyu ndio dada aliye uwawa kisa wivu wa mapenzi?πππππ
Mkuu huyu penina ni mshkaji wangu sana na nilishamuonya kuna vitu asifanye sasa sikushtuka alivyouawa...maana nilikua nahisi tu !Ila fundi ujenzi angetafuta wa level zake.hata wahaendani
Komaa wee! Mie msukuma lakini sina uzembe katika mapenzi, maana najua HALUA HAINA MAKOMBO. π π π π π πWasukuma wanapenda kizembe sana
Huku tunajichagulia tu , kina Jessica alba , Charlize therom, Aishwarya rai, na priyanka chopra tushapiga sna mkuu .