Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Japan ni jina la kawaida kabisa😀😀😀mkuu Kakumamoto hili jina lako linahitaji uzi unaojitegemea wenyewe [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japan ni jina la kawaida kabisa😀😀😀mkuu Kakumamoto hili jina lako linahitaji uzi unaojitegemea wenyewe [emoji1787][emoji1787]
Duh ngoja nikuchekUmefunga pm
AsantePole Dear...Pole Mno...
Yesu na akutie nguvu tu..
Ungekuwa umwwahi kukaa rumande hta kwa siku moja ungebadilisha sana msimamo wako wa ku deal na violence.
Hakuna kitu inauma kama kunyimwa uhuru wako, jela hakufai!!!
Mwanamke akikuzingua tatuta mwingine usihangaike naye. Dogo hapo anaenda kuozea jela naatajutia sana huo uamuzi wa kuumwa.
WanapagawaHiyo ya kumkuna jamaa akajaa naielewa, kuna watu wanakutana na nyuchi za KE/ME zinawafanya hawaelewi chochote zaidi ya kukojoa kwenye hizo nyuchi. Sijui ndo mambo ya solimeti...🤷♀️🤷♀️
PoleBinafsi sitaki kusikia kuhusu mahusiano napambba nawanangu.
PoleBinafsi sitaki kusikia kuhusu mahusiano napambba nawanangu.
Hakuna ukweli wowote hapa zaidi ya upumbavu tu wa kutaka kuhalalisha umalaya wenu wanawake kwa kuhamishia lawama kwa wanaume.Mimi nawahakikishia mara nyingi ukiskia mwanamke ame cheat ni either mwanaume wake amemcheat sana na analipiza kisasi au mwanaume hana muda nae. Bishaneni na ukweli
Mwanamke na mwanaume asie chepuka haweza kuwa mtamu ata siku moyaSasa mnavyoendaga ku cheat huko hadi mnazaa na mnategemea mwanamke awaelewe na asiulize huwa inakuwaje?
Worse enough ukute huyo ngosha ndo alikua mchepukaji mkuu tena wa hivyo huwa wana wivu balaa kumbe wao huko nje ndo wamezidi.
Mimi nawahakikishia mara nyingi ukiskia mwanamke ame cheat ni either mwanaume wake amemcheat sana na analipiza kisasi au mwanaume hana muda nae. Bishaneni na ukweli