Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Aliyemkata panga ndie huyo waliyepigana

Ila wanaume mnajitafutiaga matatizo. Mtu umemkuta anauza baa unataka kuleta ubabe wa kumkataza asiendelee na biashara uliyomkuta nayo
Kamata mwizi meen. Popoma alitaka aonekane na yeye anaishi Dar kwamba anajua habari za ndani za Penina. 🤣🤣🤣 ameumbuka.

Yote hiyo kutaka kuonekana na yeye anaishi Dar.

Kumbe LIKUD yupo sahihi kabisa kwamba popoma hajawahi kufika Dar.
 
Unataka spoon feeding..? Kama hauwezi hata ku google story ya Mary Magdalene me sina cha kukushawishi zaidi hapo.
Acha hizo mkuu..huyo hakuwa mwanafunzi wake,bali alikuwa mfuasi wake Tena mpaka Yesu anakibali awe mfuasi wake ilibidi amtakase kuondoa mapepo ndani mwake. Wanawake Wana mapepo,ndio maana hata vimbuga vyenye majina ya kike ni balaa..
 
Kwenye betting kuna kamsemo kazuri sana, bet what you can afford to lose. Mahusiano ni kama betting tu, kupoteza/kupata ni rahisi sana, sasa usiwekeze kwa mwanamke kiasi kwamba siku akisepa unakuwa mwehu. Kuna mijanaume mijinga tu, kuhonga hovyo, kuhudumia hadi ukoo, kujengea nyumba na kusomesha...ni ujinga wa kiwango kikubwa sana.

Mwisho wake unashindwa kuvumilia, akili inapatwa na disorders za kufa mbwa unaamua kuua...
 
Hasara tupu mkuu. Mfano Unaokota baamedi unategemea awe mtulivu wakati alishazoea kula vichwa utaishia kuua tu daily. Au umekuta changudoa huko anajiuza unaokota na kuapa kumbadilisha kwa kumpa kila kitu ukitegemea utakua alone hio ni impossible mission
Aah wapi! Kwa mfano,tumekubaliana aache biashara ya kuuza ulabu,nikampa kibunda kizito kama mtaji afanye biashara nyingine..ghafla akaanza visa mixer mapichapicha yasiyoeleweka hapo unategemea nini?
 
Hao wamekutana wote sio wa dar es salaam, washamba ndio wanauwana...we ushasikia wapi watoto [ wazawa ] wa kino,sinza,migo,ilala wanauwana kisa mapenzi..
 
Acha hizo mkuu..huyo hakuwa mwanafunzi wake,bali alikuwa mfuasi wake Tena mpaka Yesu anakibali awe mfuasi wake ilibidi amtakase kuondoa mapepo ndani mwake. Wanawake Wana mapepo,ndio maana hata vimbuga vyenye majina ya kike ni balaa..
Aya bhn, me nakuachia hapo maana kiroho nipo vizuri pia ila tutajadiliana siku nyingine mambo ya kiroho.
 
Back
Top Bottom