Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mmekutana ukubwani mkuu..?? Shida ni nini..?Aah wapi! Kwa mfano,tumekubaliana aache biashara ya kuuza ulabu,nikampa kibunda kizito kama mtaji afanye biashara nyingine..ghafla akaanza visa mixer mapichapicha yasiyoeleweka hapo unategemea nini?
Ndoa za mikataba ndo hazina wivu wa mapenzi..?Kutokana na wingi wa matukio ya namna hii ambayo yamekuwa yakijirudia rudia mara kwa mara, taratibu dhana ya kuona kwamba kuna kila sababu za kuanzisha ndoa za Mikataba ili kupunguza au kutokomeza kabisa matukio ya namma hii.
Ujinga tuanze kuulipia kodi ili serikali iwe tajiri. Maana sio kwa ujinga huu ambao unafanyika.Tatizo wanawake warembo wenye makalio makubwa wana mambo ya ajabu, sasa wakikutana na mwanaume asiye na akili ndo wanauwawa.
"Baby, uza ile nyumba ya mama yako nipe mtaji niachane na biashara ya baa ina vishawishi."
Mtu anauza, mama anapangiwa chumba kimoja halafu anafumaniwa na mwanaume bar, akiulizwa mbona hutoki huko baa na mtaji nimekupa anaanza majibu ya kipumbavu. Unategemea nini zaidi ya kichwa kutenganishwa na makalio?
Wanaume tuwe na akili jamani.Kila mtu afanye wajibu wake. Mwanamke ukishajijua una mshepu halafu mweupe usimpagawishe mtu kisha kumwaminisha wewe ni wake tu na kula pesa zake. Watu wengine akili hawana watawaua muishe.
Tunaoelewa hivyo sio wote, muache kudanga ila kama sio hivyo mtauliwa sana.Mtu akiwa mpenzi wako ni mpenz tu na sio unamiliki hadi roho yake wanaume badiliken mtaishia gerezan
Mkuu kuna watu wamepata pesa kwa njia ngumu kweli halafu kwa kukosa akili akawekeza kwa mwanamke, kama hakuwa na akili ya namna ya kuwekeza hadi awekeze kwa mwanamke unadhani akili ya kupuuza na kuachana na huyo mwanamke itakuwepo?Si mmekutana ukubwani mkuu..?? Shida ni nini..?
Naunga mkono hojaKutokana na wingi wa matukio ya namna hii ambayo yamekuwa yakijirudia rudia mara kwa mara, taratibu dhana ya kuona kwamba kuna kila sababu za kuanzisha ndoa za Mikataba ili kupunguza au kutokomeza kabisa matukio ya namma hii.
Hapo ni wewe unakuwa kidish ila hekaheka zangu ndo zitaziamsha changamoto zako.!!😂😂Hizo changamoto zingekuwa umezileta ww
Acha uzinzi pimbi weweNa Urembo wake Mtamu.
Na wanawake kabla ya uchunaji na udangaji wachunguze kwanza wanadanga kwa nani? Wapo kama nyumbu mtoni, hayafikirii yanawaza kuchukua tu kisa yana makalio.Wanaume tuwe na akili jamani.
Kila mtu kama sio wote wamepata pesa kwa ugumu. Ugumu ni subjective matter. Kikubwa ni watu wote watumie akili sana kwenye kupenda na sio hisia. Wanawake mtawaua sana na mtaenda jela kwa sababu za kipumbavu.Mkuu kuna watu wamepata pesa kwa njia ngumu kweli halafu kwa kukosa akili akawekeza kwa mwanamke, kama hakuwa na akili ya namna ya kuwekeza hadi awekeze kwa mwanamke unadhani akili ya kupuuza na kuachana na huyo mwanamke itakuwepo?
Wanawake kabla ya kuhadaa mwanaume mchunguze kwanza mtauwawa muishe.
Kwamba sio maumbo natural bali wanayaboost?RIP… ilaaa kina Penina wanajaziaga, sijawahi kuona Penina mwembamba
Wajinga acha wachunwe tu, kukosea ndo kujifunza. Ila kutumia nguvu kumfunza adabu mwanamke kutafanya ukawe mke wa nyapala bila sababu ya msingi huko jela.Na wanawake kabla ya uchunaji na udangaji wachunguze kwanza wanadanga kwa nani? Wapo kama nyumbu mtoni, hayafikirii yanawaza kuchukua tu kisa yana makalio.
Kwa Amani kumejaaa akapumzike hata Kwa Sele.Apumzike kwa amani
😂😂😂 wewe msaliti unamcheat wizo
Ndoa za mikataba ndo zinamaliza wivu wa mapenzi..?Naunga mkono hoja
ZinapunguzaNdoa za mikataba ndo zinamaliza wivu wa mapenzi..?