Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Si mmekutana ukubwani mkuu..?? Shida ni nini..?
Kukutana ukubwani sio hoja,hata utotoni tusingekutana pia..lakini kupoteza pesa na muda kwa mwanamke mwenye tabia chafu za ghafla tena za kishenzi na maneno ya shombo inahitaji busara nyingi kuvumilia.
 
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.

Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.

Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.

Chanzo: mwananchi_official

Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.
Noma sana
 
Kukutana ukubwani sio hoja,hata utotoni tusingekutana pia..lakini kupoteza pesa na muda kwa mwanamke mwenye tabia chafu za ghafla tena za kishenzi na maneno ya shombo inahitaji busara nyingi kuvumilia.
Kupoteza muda na rasilimali fedha kwa mtu doesn't sound like ni tatizo lake unless alikulazimisha which is ujambazi au kama alikutapeli. Hapo ni makosa yako binafsi na kuua haisaidii ku rectify makosa.
 
Kila mtu kama sio wote wamepata pesa kwa ugumu. Ugumu ni subjective matter. Kikubwa ni watu wote watumie akili sana kwenye kupenda na sio hisia. Wanawake mtawaua sana na mtaenda jela kwa sababu za kipumbavu.
Wanawake watumie akili,wasidanganyike na makalio.
Matatizo mengi hapa duniani yanaletwa na wanawake,ndio maana hata Yesu hakujihusisha nao.
 
Wanawake watumie akili,wasidanganyike na makalio.
Matatizo mengi hapa duniani yanaletwa na wanawake,ndio maana hata Yesu hakujihusisha nao.
Una uhakika hakujishughulisha nao..?
Kwenye wanafunzi wake yesu alikuwepo mwanamke na alimtoa kwenye brothels. Fatilia story ya mtu anaitwa Maria Magdalena uje unipe ushuhuda.
 
Kupoteza muda na rasilimali fedha kwa mtu doesn't sound like ni tatizo lake unless alikulazimisha which is ujambazi au kama alikutapeli. Hapo ni makosa yako binafsi na kuua haisaidii ku rectify makosa.
Okay,tuchukulie alinishawishi au kunilazimisha tena kwa mahaba fake,hapo unategemea mwisho mzuri kweli?
 
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.

Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.

Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.

Chanzo: mwananchi_official

Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.
Ni huyohuyo mpenzi wake. Ila sasa kama ulimpata mpenzi Bar, kwanini uamini ukiwa naye utambadirisha?
 
Back
Top Bottom