Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wala si mcheat mm tatizo na nyie kuna mambo hamniambii nikiwauliza😂😂😂 wewe msaliti unamcheat wizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala si mcheat mm tatizo na nyie kuna mambo hamniambii nikiwauliza😂😂😂 wewe msaliti unamcheat wizo
Upo sawaKila mtu kama sio wote wamepata pesa kwa ugumu. Ugumu ni subjective matter. Kikubwa ni watu wote watumie akili sana kwenye kupenda na sio hisia. Wanawake mtawaua sana na mtaenda jela kwa sababu za kipumbavu.
Zinapunguza wivu wa mapenzi kwa kiasi kikubwa sana, kwa sababu kila mwanandoa anajua Wazi kwamba mahali alipo siyo kambi ya kudumu bali ni kituo cha kupumzika kwa muda mfupi tu kisha atasonga mbele na safari yake.Ndoa za mikataba ndo hazina wivu wa mapenzi..?
Wajinga wana maamuzi ya kijinga, usitegemee mjinga akachukua maamuzi yenye akili. Matukio yataendelea.Wajinga acha wachunwe tu,
Kukutana ukubwani sio hoja,hata utotoni tusingekutana pia..lakini kupoteza pesa na muda kwa mwanamke mwenye tabia chafu za ghafla tena za kishenzi na maneno ya shombo inahitaji busara nyingi kuvumilia.Si mmekutana ukubwani mkuu..?? Shida ni nini..?
Sasa wilaya imejaa mateja tu watakuwa na lolote la maana?Goba ni Wilaya ya Ubungo....
Kinondoni hakuna matukio ya ovyo hivyo.
Ndiyo Wilaya yenye Madon wengi hapa nchini....Sasa wilaya imejaa mateja tu watakuwa na lolote la maana?
UnawezekanaNdiyo Wilaya yenye Madon wengi hapa nchini....
Noma sanaMwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.
Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.
Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.
Chanzo: mwananchi_official
Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.
Kupoteza muda na rasilimali fedha kwa mtu doesn't sound like ni tatizo lake unless alikulazimisha which is ujambazi au kama alikutapeli. Hapo ni makosa yako binafsi na kuua haisaidii ku rectify makosa.Kukutana ukubwani sio hoja,hata utotoni tusingekutana pia..lakini kupoteza pesa na muda kwa mwanamke mwenye tabia chafu za ghafla tena za kishenzi na maneno ya shombo inahitaji busara nyingi kuvumilia.
Wanawake watumie akili,wasidanganyike na makalio.Kila mtu kama sio wote wamepata pesa kwa ugumu. Ugumu ni subjective matter. Kikubwa ni watu wote watumie akili sana kwenye kupenda na sio hisia. Wanawake mtawaua sana na mtaenda jela kwa sababu za kipumbavu.
Siyo huko mabonde na Milima kila kona...Unawezekana
Mm Siwez kuchukia serious mapenzi kwahy huwez kuniumiza mpaka kukuuaHapo ni wewe unakuwa kidish ila hekaheka zangu ndo zitaziamsha changamoto zako.!!😂😂
Una uhakika hakujishughulisha nao..?Wanawake watumie akili,wasidanganyike na makalio.
Matatizo mengi hapa duniani yanaletwa na wanawake,ndio maana hata Yesu hakujihusisha nao.
Okay,tuchukulie alinishawishi au kunilazimisha tena kwa mahaba fake,hapo unategemea mwisho mzuri kweli?Kupoteza muda na rasilimali fedha kwa mtu doesn't sound like ni tatizo lake unless alikulazimisha which is ujambazi au kama alikutapeli. Hapo ni makosa yako binafsi na kuua haisaidii ku rectify makosa.
Sio kweli.Una uhakika hakujishughulisha nao..?
Kwenye wanafunzi wake yesu alikuwepo mwanamke na alimtoa kwenye brothels. Fatilia story ya mtu anaitwa Maria Magdalena uje unipe ushuhuda.
Unataka spoon feeding..? Kama hauwezi hata ku google story ya Mary Magdalene me sina cha kukushawishi zaidi hapo.Sio kweli.
Ni huyohuyo mpenzi wake. Ila sasa kama ulimpata mpenzi Bar, kwanini uamini ukiwa naye utambadirisha?Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi.
Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema leo Ijumaa Mei 24 2024 kuwa watatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.
Akisimulia tukio hilo mmoja wa bodaboda aliyekuwa akimbeba Penina amesema siku nne kabla ya kuuawa, Penina na mwanamume mmoja walipigana kwa kurushiana chupa.
Chanzo: mwananchi_official
Nilikuwa sijaona Picha yako ila kwa kuiona kupitia Mwananchi sasa naanza Kuelewa kwanini Msukuma Kakudedisha.