Mkuu umeongea ukweli mtupuuuHlafu unakuta boya ana ndugu zake wanaisha maisha ya tabu kijijini aisee Hii dunia kuna mambo ya ajabu sana. Mimi nilishawahi Tajiri anahonga ili ndugu wa kimada afaulu shule ya private. Huku ana ndugu yake kapiga 1.11 shule ya serikali hana hata nauli ya kwenda advance level. Wanaume tunajisahau sana tukivimbiwa Mungu tusaidie.
yaani munaona kuua wanawake ni kama vile kuchinja ng'ombe au?Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
Aaah wapi tulieni tu kama mna la maana mtalijua ila Akili ndogo haiendeshi mwanamke.Mwanamke anahitaji akili kubwa tu imtawaleNdo ujue akili kubwa tunaweza kuituliza Dunia na kuichafua Dunia so ukiandika kitu kuhusu Wanawake uwe na adabu zote umesikia kijana 🐒
Mimi nilishaapa nikipata mtoto yeyote anayependa kusoma katika ukoo wetu nampeleka shule kadri ya uwezo wangu. Familia nyingi za kitajiri zinafeli malezi kwa sababu unalazimisha wanao wasome. Wakati ungeshomesha watoto wa ndugu wanaopjua nini maana ya elimu wanao wangejifunza kutoka kwao.Mkuu umeongea ukweli mtupuuu
Mkuu una moyo mzuri sanaMimi nilishaapa nikipata mtoto yeyote anayependa kusoma katika ukoo wetu nampeleka shule kadri ya uwezo wangu. Familia nyingi za kitajiri zinafeli malezi kwa sababu unalazimisha wanao wasome. Wakati ungeshomesha watoto wa ndugu wanaopjua nini maana ya elimu wanao wangejifunza kutoka kwao.
Pole Dear....Ni Mama Mzazi?Nacheka tu kupunguza mawazo
Nimezika mama angu mwanangu
Asili ya maisha hayataki wazembe na ardhi haichoki kuwapokea,na kuuawa hawauawi wanawake tu hata wanaume wanauawa vile vile.yaani munaona kuua wanawake ni kama vile kuchinja ng'ombe au?
they differIpo tofauti ila kuna mahusiano makubwa ya hivyo vitu.
Kwann ubebe majukumu yasiyo kuwa yako?Demu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Mwanaume kua na mahusiano na kumkabizi moyo mwanamke anaeuza grocery,bar na mama ntilie ni kujivika bomu mda wowote linaripuka
Afya ya akili huku unateseka kutafuta hela ili umridhishe huyo malayar kwa kila atakacho still alete umaku oya acheni tu.Mkuu wala mapenz hayana ukubwa kiasi hicho sema tu changamoto ya afya ya akili ni kubwa .
Kwa kifupi Ngosha "Amemshaya wena" mtoto Penina.Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.
Nitaleta update zaidi.
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
==========
JamiiForums ilipowasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Mtatiro Kitinkwi amesema: “Ni tukio la kweli na tumeshatufikia, mwenye mamlaka ya kutoa taarifa zaidi ni RPC Jumanne Muliro, wasiliana naye atakupa taarifa na tayari ameshalizungumzia.”
[emoji16][emoji16]Ndiyo tatizo la kujua papuchi ukubwani, unaing'ang'ania utafikiri umeiumba wewe wakati umeikuta imeshachakatwa na watu kibao. Puliza kisha tambaa zako,unaweka kambi kabisa na kuwekeza kwa mtu usiye na nasaba naye. Ameua na kinachofuata anaenda kuozea jela.
[emoji16][emoji16][emoji16]Daah, niliwahi kumgongea Mzee mmoja Mke wake aisee (alikuwa na kabinti kadogo), Huyu mzee alikuwaga hatokitoki ndani kwa matatizo ya miguu na pressure but that time alipata nguvu za kuzunguka mji mzima akinitafuta! Angenipata sijui ingekuwa Je!![emoji848]
Kwani umelazimishwa mkuu si ili ujulikane kwamba unazo 😁😁😁Afya ya akili huku unateseka kutafuta hela ili umridhishe huyo malayar kwa kila atakacho still alete umaku oya acheni tu.
Wabeba zege tunadharaulika sanaJamaa mwenyewe mbeba zege.fundi ujenzi.hata walikuwa hawaendani