min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
πππππππHayo ma makeup tu hamna kitu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππHayo ma makeup tu hamna kitu hapo
Mimi nitaendelea kukugombania wewe tu ila sitaua mtu bali watakufa wenyewe kwa presha au kujiua wenyewe tu pale watakapoona nakupenda na kukulinda kwa upendo kama mboni ya jicho langu. Ulinzi wangu kwako ni Upendo tu nitakaokuwa nakupatiaNakuzingua tu
Hao wanaoua hawajielewi siwezi kuua mtu kwa chochote wala kugombania mwanaume
Mimi nitaendelea kukugombania wewe tu ila sitaua mtu bali watakufa wenyewe kwa presha au kujiua wenyewe tu pale watakapoona nakupenda na kukulinda kwa upendo kama mboni ya jicho langu. Ulinzi wangu kwako ni Upendo tu nitakaokuwa nakupatiaNakuzingua tu
Hao wanaoua hawajielewi siwezi kuua mtu kwa chochote wala kugombania mwanaume
Unaupiga mwingi sana LucasMimi nitaendelea kukugombania wewe tu ila sitaua mtu bali watakufa wenyewe kwa presha au kujiua wenyewe tu pale watakapoona nakupenda na kukulinda kwa upendo kama mboni ya jicho langu. Ulinzi wangu kwako ni Upendo tu nitakaokuwa nakupatia
PolePumzika kwa Amani shoga yangu
Siku hizi watu hawaogopi tena Ukimwi wanaogopa UTI tu.Sio grocery tu biaahara yoyote ya kuuza pombe bar, liquor store n.k wanawake wanabanduliwa sana. Juzi kati kuna mwana alitaka kupita na baamedi kafanya cost analysis akaona akaushe tu baada ya siku mbili tatu tukapewa taarifa nyeti kwamba yule baamed ana ukimwi
hamna haja ya kutembea na wembe ni suala la kuacha tamaa za kutaka kula hela za watu huku na kuleWanaume wengi kwa sasa wanakabiliwa na changamoto ya akili,Wanawake tujilinde tutembee hata na wembe wa Doko kwenye poshiπ
Ndio unazidi kuthibitisho mlivyo hamna akiliHapo unakuta aliwahi kuweka laki moja yake basi anahisi hiyo grocery na Penny vyote anamiliki mbwa huyo.!!
Akafie jela
Dah! Kuna mmoja alijilengesha kwangu Kinondoni nikaahidi kumwongezea mtaji. Sasa nikampa 20k atangulie lodge, yeye akaenda kuchukua ya chini ya kiwango sijui 8k au 10k hata mlango ulikuwa wa kufunga kwa nguvu sana isitoshe pana bar nje na boda kibao.Sio grocery tu biaahara yoyote ya kuuza pombe bar, liquor store n.k wanawake wanabanduliwa sana. Juzi kati kuna mwana alitaka kupita na baamedi kafanya cost analysis akaona akaushe tu baada ya siku mbili tatu tukapewa taarifa nyeti kwamba yule baamed ana ukimwi
Mzuri bana π€£Aaah wapiii!!
Nyie wenye akili mbona mnakimbilia kuua?? Kwanini msimuache mwanamke akaenda zake??Ndio unazidi kuthibitisho mlivyo hamna akili
Siku hizi hawaulizi hata codom we ukifika unaloweka tu ila kama ndio bahati mbaya baada ya siku 2 unaona mkojo unaunguza unapokojoa.Siku hizi watu hawaogopi tena Ukimwi wanaogopa UTI tu.
So why kill someone for their pussy?Your pussy
Kansas inayowatafuna ke tz na dunia ni kwamba barter trade system kati ya tundu na Hela!!hii dhana inanifadhaisha sana !Huwa nawaambia vijana nyie sio bidhaa ya kuuza wajifunze kujitafutia ili waingie kwenye mahusiano kupata mwenza sio kuuza uchi apate unafuu wa life!!Hapa ndipo shida ilipo. Mimi nishajiwekea principles zangu kama demu anajiuza tukubaliane bei tukamalizane instantly na kama anataka tuingie kwenye mahusiano rasmi kila mmoja atajihudumia mwenyewe kwa hela zake.Tatizo ukiwaelekeza vijana wanaishia kukuzodoa tu kwa kukuambia "tafuta hela"
Hopeful ulitumia condom, mabaamedi wanakitombesha kinoma sio wa kwenda nao pekupekuDah! Kuna mmoja alijilengesha kwangu Kinondoni nikaahidi kumwongezea mtaji. Sasa nikampa 20k atangulie lodge, yeye akaenda kuchukua ya chini ya kiwango sijui 8k au 10k hata mlango ulikuwa wa kufunga kwa nguvu sana isitoshe pana bar nje na boda kibao.
Nikambandua viwili halafu nikasepa bila kumpa hata 100 atajilipa aliyofisadi.
majiraaaniii njoeni huku Lucas Mwamshamba kwa mara ya kwanza hajamsifia mama na jambo la kuchangamsha zaidi anatupia maneno matamu matamu,Mimi nitaendelea kukugombania wewe tu ila sitaua mtu bali watakufa wenyewe kwa presha au kujiua wenyewe tu pale watakapoona nakupenda na kukulinda kwa upendo kama mboni ya jicho langu. Ulinzi wangu kwako ni Upendo tu nitakaokuwa nakupatia
Hao viumbe washukuru sana Mungu alituumba akili kubwa vinginevyo wangeishi kama Mazombi kwenye Dunia πππNyie wenye akili mbona mnakimbilia kuua?? Kwanini msimuache mwanamke akaenda zake??
Ilikuwa januari nilipita kavu ila nilichukua PEP siku ya pili.Hopeful ulitumia condom, mabaamedi wanakitombesha kinoma sio wa kwenda nao pekupeku