Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Hao LHRC wanaohangaika na Oscar Oscar kwanini wasifuatilie hizi kesi za domestic violence mbona kama zinaongezeka....
Wanafuatilia sana na wanatoa ushauri kama una tatizo. Ndio maana siku hizo watu wanatoa taarifa sana kwa matukio kama haya. Ila ni ngumu sana kwa ukatili unaohusisha wapenzi
Ila wadau wengi tu wanafanya kazi eneo hili.
 
Unamununulia iphone 15 pro max
Unamfungulia grocery
Unamununulia kagari IST
Mwisho wa siku unagongewa na wahuni wanaununua bia za buku Jeri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndo maana tuliambiwa tuishi na wanawake kwa akili
Ukiona mtu anatumia nguvu nyingi kwenye mapenzi, jua huyo hapendwi. Utanunua hata nyumba lakini hutanunua moyo wa mtu.
 
Hahahah , kazi unayo. Unaua sababu ya mapenzi? Huna kazi nyingine za kufanya?
Mi sijaua, lkn katika hali ya kawaida dada zetu nao wabadili mitazamo wanaume wote sio kama Mpaji Mungu kwamba utakula hela zake mwisho wa siku unamkataaa na hana Cha kufanya anakushtaki kwa alie juu... wengine watadeal na ww traditionally na wengine watakupenina
 
Bora angemuacha kwa amani, sasa huyo jamaa kajificha na atakamatwa akafie jela. Tusijichukulie sheria mkononi, angempa talaka au akamuacha kiaina ingekuwa poa sana. Anyway rip penny, jina zuri kafa kifo kibaya 😭
Nani amekuambia atafia jela,kuna case kama hizo nyingi huwa wanatoka kwa kuia bila kukusudia.
 
Aise wasukuma wakipenda wanapenda na hawawezi kuvumilia maumivu
Wengine maconcord mimi na mwanangu GENTAMYCINE dem
akitupiga chini fureshh tu tunaendelea na maisha kama kawa

ova
Nimeacha Kupenda Mwanamke mwaka 2010 na tokea hapo Mimi ni mwendo wa Kuwabandua na Nitawabandua mno.
 
Huwa wanapata nini cha zaidi ambacho mpaka wanapenda kiasi hawajielewi ? Kukojoa ni kuleukule tu me hawa wanaozimikaga nahisi ni mtu jinsi alivyoumbwa labda na ushirikina akikufanyia
Kuna uchi nilikutana nao una Kama mchangamchanga ndani,yaani ile safari kuelekea kukojoa ni tamu balaa,halafu ukiingiza anafinya ukitoa anaachia,yaani picha Kali,huwezi pata uchi wenye michanga kwingine,so huwa Kuna mtu ana kitu kinakuvutia
 
Back
Top Bottom