Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
1.Pep na Mess hakuna mwenzake aliemfanya mwenzake kuwa bora bali wote ni bora.

2.Pep aliwakuta Xavi,na Iniesta wakiwa kwenye peak lakini kwasababu nae yupo bora ndio maana aliweza kuyafanya aliyofanya.

3.Pep kushindwa kuchukua ubingwa wa UEFA Buyern sio kufeli kwa Pep,bali buyern hakupendezwa na mfumo wa ufunfishaji wa Pep ndio maana aliamua aondoke.Kama ambavyo Mo alishindwa kuchukua UEFA akiwa R.Madrid huku akiwa nawachezaji bora duniani.

4.Kuhusu kuchukua EPL hilo liko wazi atachukua sio tu atachukua,atachukua na huku kazinyanyasa timu kuzifunga na kuchezea Mpira anavyotaka.Kuhusu kuchukua EPL msimu ujao kama akiendelea kuwa Man city basi atachukua.

5.Kuhusu kusahau UEFA ungetwambia nikocha yupi wa EPL atachukua UEFA.Mimi siwezi kusema pep hatochukua au atachukua Uefa hata Man utd anaweza kuchukua ingawa ni timu mbovu ukilinganisha na Man city.

Xavi, iniest,Sergio wa Barcelona ndio hawa KDB,Silva(Gurdogan) na Fernadinho.Ndio maana unaona hata sasa ingawa man city ana beki mbovu lkn bado anazisurubu timu zenu za EPL.Maana Pep haamini zaidi ktk uzuiaji bali ushambuliaji kama ilivokuwa barca.

Man city kwa sasa Mendi,Company,stone na Silva wana injury lkn bado wanawasurubu na wataendelea kuwasurubu.
 
Kwahiyo ukatae ukubali pep kafanya uwekezaji mkubwa unaolipa.Ukiangalia wachezaji ambao Mo aliruhusu wauzwe alivyoingia Man u niwachache kuliko Pep.Kwahiyo ukaatae au ukubali pep kwa kipindi chake tangu aanze ukocha yupo mbaalii mno.

Uwekezaji umelipaje? Mwaka jana alitoka kapa! Msimu wa mwaka huu haujaisha! Sasa unasemaje uwekezaji umelipa? Au kuongoza ligi ndiyo kulipa kwenyewe?
 
1.Pep na Mess hakuna mwenzake aliemfanya mwenzake kuwa bora bali wote ni bora.

2.Pep aliwakuta Xavi,na Iniesta wakiwa kwenye peak lakini kwasababu nae yupo bora ndio maana aliweza kuyafanya aliyofanya.

3.Pep kushindwa kuchukua ubingwa wa UEFA Buyern sio kufeli kwa Pep,bali buyern hakupendezwa na mfumo wa ufunfishaji wa Pep ndio maana aliamua aondoke.Kama ambavyo Mo alishindwa kuchukua UEFA akiwa R.Madrid huku akiwa nawachezaji bora duniani.

4.Kuhusu kuchukua EPL hilo liko wazi atachukua sio tu atachukua,atachukua na huku kazinyanyasa timu kuzifunga na kuchezea Mpira anavyotaka.Kuhusu kuchukua EPL msimu ujao kama akiendelea kuwa Man city basi atachukua.

5.Kuhusu kusahau UEFA ungetwambia nikocha yupi wa EPL atachukua UEFA.Mimi siwezi kusema pep hatochukua au atachukua Uefa hata Man utd anaweza kuchukua ingawa ni timu mbovu ukilinganisha na Man city.

Xavi, iniest,Sergio wa Barcelona ndio hawa KDB,Silva(Gurdogan) na Fernadinho.Ndio maana unaona hata sasa ingawa man city ana beki mbovu lkn bado anazisurubu timu zenu za EPL.Maana Pep haamini zaidi ktk uzuiaji bali ushambuliaji kama ilivokuwa barca.

Man city kwa sasa Mendi,Company,stone na Silva wana injury lkn bado wanawasurubu na wataendelea kuwasurubu.

Si kweli kwamba pep alimkuta Andre Iniesta yupo kwenye pick. Ukweli ni kwamba pep ndio alimpa nafasi Iniesta tena baada ya kumuuza Deco. Kumbuka Xavi na Deco ndio walikuwa viungo bora pale baca. Pep amepandisha vijana kibao toka kule timu b. Pedro, Busquet, Montoya, mark Batra, na winga mmoja hivi jina nimelisahau. Pep ndio alimuuza Keita ili kumpa nafasi Busquet baada ya kujiridhisha kuwa Busquet ni bora kuliko keita. Watu wakatoa povu ooh jamaa ni mbaguzi.

Kaja epl kakuta man city ina magalasa kibao. Kaijenga timu. Kaondoa magalasa na wazee. Kachukua vijana. Sane, Jesus, Sterling,Stone,nk. Eti mchezaji kama Fabian Delph naye kwa sasa ni bonge la mchezaji. Pep kambadilisha kabisa. Alikuwa wa kawaida.

Kingine. Kwa wale ambao mnategemea maajabu mtasubiri sana. Hivi mnajua kuwa mmiliki wa man city ndie anayemiliki club ya Girona iliyopo kule Catalona? Sasa kwa taarifa yenu tu city ina vijana wasiopungua 6 wenye vipaji vya kweli ambao wamesajiliwa na kupelekwa pale Girona kukuza vipaji.

Hawa watakuwa kama ilivyokuwa kwa Lucas Vazquiz na Asensio wa madrid. Walisajiliwa na kupelekwa kwa mkopo kwenye vilabu vingine. Sasa wamerudi na kazi zao mnaziona. Nasema Pep akikaa City kwa miaka 5 itakuwa ni ligi ya timu 1 tu.
 
Uwekezaji umelipaje? Mwaka jana alitoka kapa! Msimu wa mwaka huu haujaisha! Sasa unasemaje uwekezaji umelipa? Au kuongoza ligi ndiyo kulipa kwenyewe?
Mwaka Jana alitoka kapa kwa sababu alikuwa anajenga kikosi na alikuta timu inawazee wengi na asingeweza wabadili kwa pamoja.Ukezaji unamlipa ndio maana mechi 18 kadraw moja.Tena na hizo timu zenu bora kazitembezea vipigo.
 
Mwaka Jana alitoka kapa kwa sababu alikuwa anajenga kikosi na alikuta timu inawazee wengi na asingeweza wabadili kwa pamoja.Ukezaji unamlipa ndio maana mechi 18 kadraw moja.Tena na hizo timu zenu bora kazitembezea vipigo.
Kwa wee team kama Shitty hiyo ni achievement kubwa. Natarajia DVDs zitatoka soon!
 
Nashangaa mnapiga kelele washabiki wa Man utd.Pep nikocha bora kwa kila kitu pep msimu huu 2017/2018 kasajili wachezaji 5 tu amabao ni Mendi,Bernardo,Ederson,walker na Danilo.Pia licha yakusajili wachezaji hao wachezaji wanaoanza kwenye kikosi cha kwanza ni wawili tu ambao ni Edson na Walker.Wachezaji wengine wote mechi nyingi wameanzia nje.

Licha yakusajili wachezaji hao pia aliruhusu wachezaji wengi waondoke ambao hawaendani na mfumo wake ambao ni Clich,Sagna,Zabaleta,Nasri,Navas,Koralov,cabalero ukiangalia wachezaji waliondoka ndani yakikosi niwengi kuliko aliowasajili.

Kuhusu matumizi ya pesa nikuwa soko la wachezaji kwa sasa limebadilika.Lukaku hana thamani ya Paund 75Million,wala pogba hana thamani ya paundi 93Million lakini kutokana na soko la wachezaji ndio mana unaona kama vile Pep katumia pesa nyingi kuliko makocha wengine.

Pep kaja Man city kakuta wachezaji wengi ni waumri mkubwa tofauti Mo alivoikuta Man u.Kwahiyo ukatae ukubali pep kafanya uwekezaji mkubwa unaolipa.Ukiangalia wachezaji ambao Mo aliruhusu wauzwe alivyoingia Man u niwachache kuliko Pep.Kwahiyo ukaatae au ukubali pep kwa kipindi chake tangu aanze ukocha yupo mbaalii mno.
we jamaa umeua kila kitu
 
Kwa wee team kama Shitty hiyo ni achievement kubwa. Natarajia DVDs zitatoka soon!
Sio mimi tu hata matajiri wa Man city ndio maana wanamuomba Pep aongeze mkataba.Kuhusu kutoa DVDs hiyo nikazi ya washabiki wa Man utd na EPL kwa ujumla.Washabiki hasa wa Man utd hamumpend pep kwa sababu mara nyingi kawaprove wrong.Mlisema kuwa hawezi ligi ya EPl leo mnalia kuwa katumia pesa nyingi.Nyinyi nani aliwakatalia kutumia pesa nyingi?.Wengine eti subiri msimu ujao tuone tena kama atachukua.Najua kuchukua bado hajachukua lkn 81% kombe ni la Pep hata wewe unajua.
 
Sio mimi tu hata matajiri wa Man city ndio maana wanamuomba Pep aongeze mkataba.Kuhusu kutoa DVDs hiyo nikazi ya washabiki wa Man utd na EPL kwa ujumla.Washabiki hasa wa Man utd hamumpend pep kwa sababu mara nyingi kawaprove wrong.Mlisema kuwa hawezi ligi ya EPl leo mnalia kuwa katumia pesa nyingi.Nyinyi nani aliwakatalia kutumia pesa nyingi?.Wengine eti subiri msimu ujao tuone tena kama atachukua.Najua kuchukua bado hajachukua lkn 81% kombe ni la Pep hata wewe unajua.

Bro, ushaona United wanatengeneza DVDs baada ya kuzifunga timu kubwa au kuongoza ligi? Vitimu vidogo ndiyo ufanya hivyo.

Ligi hata nusu haijafika! Hiyo 81% umeikokotoaje?
 
Mkuu ulioleta huu uzi nadhani umeanza kushabikia mpira 2009... Mkuu hivi unajua ile barca ndo ilimuweka juu Pep kuwa na nidhamu kwa mtu kama Sir.Alex ferguson miaka ile alikuwa tishio sana kuliko huyu Pep kikosi kinambeba Pep...ila jamaa ni average trainer
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
Kocha mzuri sababu ya wachezai wazuri, tena wazuri kweli, je akifundisha wachezaji wa kawaida tu kama Leicester City kama Ranieri, na kutwaa EPL angeweza??!!
 
Wamemtimua Carlo Ancelotti baada ya kugongwa vibaya na PSG first leg. Lile ndo kombe wanahitaji, Unadhani angepoteza bundesliga vile wangevunja kandarasi? Hapana. Sababu wanajua bundesliga ni yao tu

Pep hakutimuliwa ila pia hamna Cha ajabu alichofanya Bayern that's the point. Mleta uzi na mashabiki maandazi wengi wanataka kusema Pep alifanya ya ajabu Bayern, Hapana alifanya kile kile cha siku zote.
Nimekuelewa mkuu
 
mtu makini yeyote akieleza tatizo huwa anatoa na solution ya tatizo... umeeleza mengi kupinga pep sio kocha bora.. ila hujatutajia kocha bora duniani ni nani.. Zidane au??

binafsi xavi na iniesta nimemjua baada ya pep kuwapanga sana.. enzi za rijkaard hawakuvuma kabisa..

na lingine je messi kafundishwa mpira na nani?? unajua before barcelona ya wakubwa.. pep alikuwa anafanya kazi gani?
Kwa sasa Zidane Yazidu Zinedine ndo kocha bora,hyo Guadiola hakuweza kutetea Uefa wala kombe la club la dunia,,,,kama siyo Zizzou nani mwingine?
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
leo imeanza hii ya kwamba next season atatoka kapa 😎😎😎 kweli nimeamini watu hawaishiwi maneno haya yetu macho na masikio
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
Pale bayern aliboronga na mbaya zaidi akaitoa bayern kwenye ile falsafa yao ya soka la kigermany na kuleta falsafa ya katalunya kitu ambacho mabosi wa bayern hawakupendezwa nacho ndio maana wakatemana nae
 
Back
Top Bottom