Pesa inayofaa kuacha kwa matumizi ya familia yenye watoto wawili wasiozidi miaka 5

Pesa inayofaa kuacha kwa matumizi ya familia yenye watoto wawili wasiozidi miaka 5

Twenzetu

Senior Member
Joined
Oct 23, 2023
Posts
127
Reaction score
285
Nilikuwa na mwanamke nilizaa nae watoto wawili

Nilijaribu kumfungulia biashara akaiua

Nilikuwa nauliza kwa wenzangu wenye uzoefu ikiwa kama mwanaume nalipa vitu vifuatavyo:

Kodi, bima za afya za watoto na mama yao, maji, umeme, ving'amuzi, ada ya mtoto aliyeanza kusoma, mavazi na mengineyo

Je ni kiasi gani kinafaa kumwachia mwanamke ya kuweza kuwalisha ile standard kabisa kwa maisha yetu haya ya kitanzania kwa mwezi
 
Nimekuwa nikifanya hivyo kumpa bila kumkadiria but ninayompatia unakuta haifiki hata mwezi anasema imeisha na kwavile mimi nafanyia shughuli zangu nje ya Dar,kurudi kwangu huwa ni weekend tu
Nunua mahitaji ya vyakula ambavyo vinakaa kwa muda mrefu,
Kama vila Maharage,Mchele na vinginevyo,kama anayo Friji/Freezer,unanunu nyama,Kuku na Samaki unaweka kwenye freezer,

Inabaki unampa hela ya matumizi madogomadogo tu kama vile kununua Gesi,viungo vya chakula..
Pia unakua unampa extra money for emergency,hii njia itakupunguzia gharama pia.
 
Nunua mahitaji ya vyakula ambavyo vinakaa kwa muda mrefu,
Kama vila Maharage,Mchele na vinginevyo,kama anayo Friji/Freezer,unanunu nyama,Kuku na Samaki unaweka kwenye freezer,

Inabaki unampa hela ya matumizi madogomadogo tu kama vile kununua Gesi,viungo vya chakula..
Pia unakua unampa extra money for emergency,hii njia itakupunguzia gharama pia.
Mkuu mambo hayo mengine kuhusu mambo ya jikon sihusiki nayo,ndo mana niwe mkwel kwa mwezi namwingiziaga laki 8 bank,nikijua kwa maisha yetu ya kitanzania itamtosha but mwezi unakuta hauishi anadai hela imeisha,ndo maana nimeuliza wadau ili niambulie mawili matatu ili nipate pa kuanzia
 
Mkuu mambo hayo mengine kuhusu mambo ya jikon sihusiki nayo,ndo mana niwe mkwel kwa mwezi namwingiziaga laki 8 bank,nikijua kwa maisha yetu ya kitanzania itamtosha but mwezi unakuta hauishi anadai hela imeisha,ndo maana nimeuliza wadau ili niambulie mawili matatu ili nipate pa kuanzia
Kama huhusiki na kutaka kujua jinsi ya matumizi ya hiyo hela basi sina cha kukusaidia,na inawezekana usipate msaada wowote humu,

Kingine,maisha yanatofautiana kutokana na eneo analoishi muhusika,hapa hata hujasema hiyo familia inaishi wapi,

Hutaweza kutatua tatizo lako mpaka pale utakapotaka kujua matumizi sahihi ya hizo hela,
Huwezi kupanga bajeti bila kujua matumizi yanaenda kutumika kwenye nini na nini.
 
Back
Top Bottom