Pesa inayofaa kuacha kwa matumizi ya familia yenye watoto wawili wasiozidi miaka 5

Pesa inayofaa kuacha kwa matumizi ya familia yenye watoto wawili wasiozidi miaka 5

Mkuu ndo mana nmesema maisha yetu sisi watanzania kwa wingi wetu tunayoishi kuafford basics needs na kubakiwa na savings kdgo
Kabisa ijapo usifuate mkumboo, Kuna matumizi muhimu, Matumizi matamanio na Matumizi yasiyo muhimu kabisa.

Wengi tunashindwa kutofautisha na kujikuta tunapoteza pesa nyingi bila sababu ya msingi.
 
Nilikuwa na mwanamke nilizaa nae watoto wawili

Nilijaribu kumfungulia biashara akaiua

Nilikuwa nauliza kwa wenzangu wenye uzoefu ikiwa kama mwanaume nalipa vitu vifuatavyo:

Kodi, bima za afya za watoto na mama yao, maji, umeme, ving'amuzi, ada ya mtoto aliyeanza kusoma, mavazi na mengineyo

Je ni kiasi gani kinafaa kumwachia mwanamke ya kuweza kuwalisha ile standard kabisa kwa maisha yetu haya ya kitanzania kwa mwezi
Ndugu yangu wa JD.

Wenzako wanatoa 3,000,000 kwa siku. We kuweza?

Tunza watoto kulingana na uwezo wako. Kama hauna hauna, kama unacho toa.

Ushauri ulio kuja kutafuta hapa hata mahakama haiwezi kukupatia.

Lambda utuambie kipato chako afu tuchukue 50% uwape wanao na mzazi mwenzio, lambda.
 
Familia ipo Dar,pesa ninayompatia ni kwa ajili ya chukula na mengine madogo madogo,bills zote kubwa nazilipa mimi
 
Nilikuwa na mwanamke nilizaa nae watoto wawili

Nilijaribu kumfungulia biashara akaiua

Nilikuwa nauliza kwa wenzangu wenye uzoefu ikiwa kama mwanaume nalipa vitu vifuatavyo:

Kodi, bima za afya za watoto na mama yao, maji, umeme, ving'amuzi, ada ya mtoto aliyeanza kusoma, mavazi na mengineyo

Je ni kiasi gani kinafaa kumwachia mwanamke ya kuweza kuwalisha ile standard kabisa kwa maisha yetu haya ya kitanzania kwa mwezi
takushauli as my son

inategemea na mzunguko wako wa kifedha ulivyo kwa wakati uliopo. Siku unayo ya kutosha wape vya kutosha, even +, siku hauko sawa wahudumie vya muhimu tu.

Lakini, i think budget ya mwezi fanya hivi,
Nunua vyakula vya lazima nyumbani vya mwezi mzima, sjui mchele, ngano nk, ambayo for 2 kids + mama, budget ya 300k is enough, mpe 300k mkeo sjui mchepuko, then yeye ndio atajua anaibudget vipi ili watoto wale vizuri mwezi mzima, chakula cha kutosha na fridge lijae. Akiona ndogo akalalamika, usimuongeze hata cent 1 ili ajue jinsi ya kujibudget, yeye ndo mama, inabidi ajifunze kutumia pesa vizuri maisha yaende, aliua biashara sasa aone vya kuomba vilivyo vigumu.
 
Nilikuwa na mwanamke nilizaa nae watoto wawili

Nilijaribu kumfungulia biashara akaiua

Nilikuwa nauliza kwa wenzangu wenye uzoefu ikiwa kama mwanaume nalipa vitu vifuatavyo:

Kodi, bima za afya za watoto na mama yao, maji, umeme, ving'amuzi, ada ya mtoto aliyeanza kusoma, mavazi na mengineyo

Je ni kiasi gani kinafaa kumwachia mwanamke ya kuweza kuwalisha ile standard kabisa kwa maisha yetu haya ya kitanzania kwa mwezi
takushauli as my son

inategemea na mzunguko wako wa kifedha ulivyo kwa wakati uliopo. Siku unayo ya kutosha wape vya kutosha, even +, siku hauko sawa wahudumie vya muhimu tu.

Lakini, i think budget ya mwezi fanya hivi,
Nunua vyakula vya lazima nyumbani vya mwezi mzima, sjui mchele, ngano nk, ambayo for 2 kids + mama, budget ya 150k is enough, mpe 150k mkeo sjui mchepuko, then yeye ndio atajua anaibudget vipi ili watoto wale vizuri mwezi mzima, chakula cha kutosha na fridge lijae. Akiona ndogo akalalamika, usimuongeze hata cent 1 ili ajue jinsi ya kujibudget, yeye ndo mama, inabidi ajifunze kutumia pesa vizuri maisha yaende, aliua biashara sasa aone vya kuomba vilivyo vigumu.
 
Mkuu huwezi kumsaidia mtu kupanga matumizi hata siku1.

Nawewe nikuulize, Mleta maada ametuuliza sisi swali, Je sisi ndio formula yake ya Maisha?
Mkuu hapo umekosea mawazo yako ni muhimu katika kusaidia kuchukua maamuzi
 
Inategemea kipato chako na unataka wanao waishije. 60,000 inaweza kutosha na 6m inaweza isitoshe.
 
takushauli as my son

inategemea na mzunguko wako wa kifedha ulivyo kwa wakati uliopo. Siku unayo ya kutosha wape vya kutosha, even +, siku hauko sawa wahudumie vya muhimu tu.

Lakini, i think budget ya mwezi fanya hivi,
Nunua vyakula vya lazima nyumbani vya mwezi mzima, sjui mchele, ngano nk, ambayo for 2 kids + mama, budget ya 300k is enough, mpe 300k mkeo sjui mchepuko, then yeye ndio atajua anaibudget vipi ili watoto wale vizuri mwezi mzima, chakula cha kutosha na fridge lijae. Akiona ndogo akalalamika, usimuongeze hata cent 1 ili ajue jinsi ya kujibudget, yeye ndo mama, inabidi ajifunze kutumia pesa vizuri maisha yaende, aliua biashara sasa aone vya kuomba vilivyo vigumu.
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako,mimi ni mwajiriwa so kipato cha mwezi ni constant
 
Nilikuwa na mwanamke nilizaa nae watoto wawili

Nilijaribu kumfungulia biashara akaiua

Nilikuwa nauliza kwa wenzangu wenye uzoefu ikiwa kama mwanaume nalipa vitu vifuatavyo:

Kodi, bima za afya za watoto na mama yao, maji, umeme, ving'amuzi, ada ya mtoto aliyeanza kusoma, mavazi na mengineyo

Je ni kiasi gani kinafaa kumwachia mwanamke ya kuweza kuwalisha ile standard kabisa kwa maisha yetu haya ya kitanzania kwa mwezi
Maisha ya kawaida ndio yapi hayo? Vipato havifanani, mlo wenu ukoje breakfast ya kawaida kwenu ikoje ina mayai, siagi, jamu, siagi ya karanga mkate, soseji, maziwa na matunda?
Lunch na dina inakuwa na nini? Kuku, samaki, ng'ombe matunda na juisi kama ni hivo nahisi unahitaji angalau umpe tsh 1,400,000 kwa mwezi.

Ila kama milo yenu haina hayo mambo, ama yapo siku moja moja nadhani 500,000 ni fair
 
Chakula na mambo madogo madogo kama saloon nk,mavazi na vitu vingine kuna bajeti yake
Andaa notebook andika vitu muhimu vya kununua Kwa mwez na gharama utazotumia
Vya kununua
Mchele
Unga
Ngano
Mafuta ya kula,sukari
Viungo nunua pia na mboga zinazotunzika kma nyama ya kuku na nyombe Kisha tunza kumbukumbu then Mpe mkeo pesa budget kwaajili ya emergency matunda na mbogamboga
Anza kuangalia mzunguko huo wa vitu utaishia wapi na Kwa muda gani
Vikiisha kati kati ongeza Tena had mwez ukamilike
Rudi kwenye note book Yako piga hesabu kias chotr na hali ya maisha ilivokuwa km mlikulaa vizuri bas ni sawa kma Ilikuwa nyanya mchuz mwing bas ongeza bajet pia utakuwa ushajua Nini kinatosha Kwenye nyumbayako kwa mwez japo Kwa kukisia kunakoendana na uhalisia
 
au we mpatie just 120k tu atajipanga mwenyewe, cas mwanamke lazima ajue kupangilia budget na kujibana mda mwingine, tena ana bahati hata unamlipia bills zingine zote ashukuru sana, 120k inamtosha au awe anakuomba akiwa na shida, usimpe budget yote ili akili imkae sawa, mbona akaua biashara ulimfungulia?
 
Maisha ya kawaida ndio yapi hayo? Vipato havifanani, mlo wenu ukoje breakfast ya kawaida kwenu ikoje ina mayai, siagi, jamu, siagi ya karanga mkate, soseji, maziwa na matunda?
Lunch na dina inakuwa na nini? Kuku, samaki, ng'ombe matunda na juisi kama ni hivo nahisi unahitaji angalau umpe tsh 1,400,000 kwa mwezi.

Ila kama milo yenu haina hayo mambo, ama yapo siku moja moja nadhani 500,000 ni fair
Mkuu,kawaida yani kama siku familia inatamani kula mlo wa aina flan basi unapatikana bila shida yoyote,hata ulivyoviorodhesha hapo ni vya kawaida
 
Haya mambo hayana muongozo mkuu, kila familia inakuwa na utaratibu wake na budget yake. Huwezi kutembelea budget ya mwingine as hujui malengo na vipato vyao niaje.

Kuna watu 1m kwa mwezi ni chakula tu, kuna familia baba anaacha 50k kodi ya meza daily, while kuna familia baba anaacha 5k mezani.
 
Mkuu,kawaida yani kama siku familia inatamani kula mlo wa aina flan basi unapatikana bila shida yoyote,hata ulivyoviorodhesha hapo ni vya kawaida
Mkuu majibu yako yaonyesha wewe ni mbangaizaji mwenzetu, kwa hiyo mpe 300,000 hadi 500,000 ila uridhike na chochote atakachopika manake bajeti yako ni ndogo na familia ni kubwa ili iwatoshe kumaliza mwezi
 
Andaa notebook andika vitu muhimu vya kununua Kwa mwez na gharama utazotumia
Vya kununua
Mchele
Unga
Ngano
Mafuta ya kula,sukari
Viungo nunua pia na mboga zinazotunzika kma nyama ya kuku na nyombe Kisha tunza kumbukumbu then Mpe mkeo pesa budget kwaajili ya emergency matunda na mbogamboga
Anza kuangalia mzunguko huo wa vitu utaishia wapi na Kwa muda gani
Vikiisha kati kati ongeza Tena had mwez ukamilike
Rudi kwenye note book Yako piga hesabu kias chotr na hali ya maisha ilivokuwa km mlikulaa vizuri bas ni sawa kma Ilikuwa nyanya mchuz mwing bas ongeza bajet pia utakuwa ushajua Nini kinatosha Kwenye nyumbayako kwa mwez japo Kwa kukisia kunakoendana na uhalisia
Mkuu hivyo vitu vyote nmempa uhuru yeye wa kutomwingilia hayo mambo ya jikoni
 
Back
Top Bottom