Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Pesa imefichwa nyuma ya pazia la Mama anaupiga mwingi, diplomasia za kidijitali za kuifungua nchi na vitu kadha wa kadha vinavyofanania na hivyo.
Huyo mama mwenyewe anabiashara kibao za PETRO STESHENI(SHERI)
Ila tunajua kiasi gani anamikiki vituo vya mafuta
Kiasi kingine kakifungua PUA na MDOMO na lango la bandari
Huyo mama nchi hii anaipeleka pabaya sahau kuhusu bei ya MAFUTA kushuka

Wanakopeshana mapesa wenyewe VIBOPA

Yaan kwa sasa PENGO kati ya masikini na tajiri linaongezeka kwa kasi
wakati utawala wa MAGUFURI lilipungua kwa kiasi kikubwa
Ukiona watu wamefungua BIASHARA kubwa usiige mtego huo hao mi mafisadi wanatumia mgongo wa hiyo BIASHARA kutakatisha FEDHA
Haiwezekani kila kona SHERI yaan hadi sehemu ukutegemea kuwe na SHERI kuna SHERI
basi hapo kwenye SHERI ndipo kwenye UFISADI mkubwa ulipofichika kila KIBOPA au Kiongozi yumo humo

Mafuta yapo JUU
Dora imeadimika
Umeme shida
Sekta ya AFYA ndo hvyo imezingua na BIMA
Unadhani kuna biashara itakayokwenda sawa
Wewe unafuata sheria mwenzio anapinda KONA
Unadhani mtakuwa sawa

Huyu MAMA akufaa kuwa RAISI
Gen MABEYO bora ungemsikiliza BASHIRU na MAJARIWA walikuwa na maono makubwa
Au Ungeichukua wewe tu kuliko hii SHIDA uliyotuletea ni tabu tupu aisee
 
So Mabayo msaliti wetu?
 
Jusi nilikwenda kufanya interview baada kuonaa biahsra sielewi kbsa
 
Na akaanza kuchungulia account za watu na kuchukua hela kibabe
Magufuli alikua anaenda kufail vibaya sana
Samia anataka kuibadilisha nchi haraka haraka ndo anapofeli
 
Ni mjinga mpuuz sna
 
Bila shaka mafisadi, wageni na wapiga dili wameamua kubeba hela zote aisee! Mtaani hali si hali. Biashara nyingi zimedoda. Halafu wakati huo huo unatakiwa ulipe kodi TRA, na pia marejesho ya benki kila mwezi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…