Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ipunguzwe wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6, pia pesa ya books and stationary iondolewe au nayo ipunguzwe.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ipunguzwe wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6, pia pesa ya books and stationary iondolewe au nayo ipunguzwe.

Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
acha wivu!!!!.......mbona wabunge wanalipwa pesa kibao wanalala bungeni na wanaiba wake za wa2!!
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Sina mood...... 😀 😀
 
My take
Kuwe na need ya kuwa na AI hapa jamii forums itakayo filter useless posts like this one.
1. Kabla ya yote bro umesoma wapi, expenses zako zilkuaje.
2. Ume focus kwenye chakula na stationery my brother umesahau kodi,bundle, sanitary equipment and others.
3. Life la chuo ni tough more than you think, ukishashiba makande tafta mahali ulale.
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
 
Kama hoja yako ni pesa kupelekwa kwenye maendeleo ya wananchi kwa nini isiwe wabunge wanao kula pesa za bure pale bungeni ndio wapunguziwe posho na mishahara yao hadi uanze kuwazia wanafunzi ambao hizo pesa wengine wanachangia kwenye familia zao na pesa zenyewe ni mkopo sio msaada, hoja yako haina mashiko inapaswa kupuzwa tuu
 
Back
Top Bottom