Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

Kuna kaukweli kijana mdogo miaka 24 hana kazi ya kueleweka hana mshahara ila ana mademu wa 4 masikini zaidi yake wasio na kazi pia. Hapa kuna tatizo.
 
Ukweli ni kua Vijana Wapumbavu Wapumbavu ndio wako hivo, wanatumia Pesa vibaya sana.

Tafuteni Wanawake ambao hata mara Moja ni yeye wakukutoa Out na analipia Kila kitu.

Msideti CHUMA ULETE mazeee... Kamwee hutasonga mbele, labda usonge ugali
Hatudate na vijana spana mkononi,
 
Ukweli ni kua Vijana Wapumbavu Wapumbavu ndio wako hivo, wanatumia Pesa vibaya sana.

Tafuteni Wanawake ambao hata mara Moja ni yeye wakukutoa Out na analipia Kila kitu.

Msideti CHUMA ULETE mazeee... Kamwee hutasonga mbele, labda usonge ugali
NAKAZIA SANA
 
Ila serikali SIKIVU ya mama Kizimkazi ifanye namna kwenye maboresho ya kiuchumi Kwa vijana wetu Hali sio shwarii....Chonde chochde mama waangaliwe Kwa jicho la tatu
 
I discovered this kind of scam long time ago. Sex is mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume abebeshwe gharama kama vile anafanyiwa favor. Katika mambo ambayo nimeyanyosha ni suala la cost management katika mahusiano. We split all costs or each one should take care of his/her bills. Period!
 
Mwamba Natafuta Ajira hupingwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…