Peter Madeleka: Kutishia watu kuwapeleka Magereza ili wateseke ni Ushamba na ulimbukeni. Kuuza bandari za Watanganyika ni ufisadi

Peter Madeleka: Kutishia watu kuwapeleka Magereza ili wateseke ni Ushamba na ulimbukeni. Kuuza bandari za Watanganyika ni ufisadi

Mkataba wa IGA ungekuwa unatubana zisingesambazwa hizi barua za TPA zenye kualika makampuni yenye uwezo wa kuwekeza yaje yawekeze.

Umeandika maneno mengi lakini ni pumba tupu. Bandari zote zinahitaji waendeshaji mahiri na watapatikana kulingana na uwezo wao, Siasa za JPM eti alipinga uwekezaji, ni kwa sababu aliingizwa chaka na Kipilimba aliyekuwa boss wa TISS wa wakati ule na alipokuja kugundua kosa lake akamtimua mara moja.

Ukiwa na akili za kijamaa zisizokuwa na uwezo wa kubadilika ndio utakuja na hoja nyingi za kusema sisi wenyewe tuendeshe bandari zetu!, hatuna uwezo huo mkuu.

Teknolojia pekee ni mtihani kwa uendeshaji wetu. Achilia mbali tabia za wizi na ufisadi ambao kila mwaka CAG anauweka wazi.
Hilo tangazo ni zuga tu, Dp world ameshapewa Bandari
 
Kwa mujibu wa RIPOTI ya CAG ya mwaka 2020/2021, ni kwamba, MAGEREZA yote Tanzania, YAKIJAA, yanauwezo wa KUBEBA watu 35,000 tu. Uwanja wa MKAPA-DSM, UKIJAA, unaweza KUBEBA watu 60,000. Tanzania ina watu 60 MILIONI. Kwa hiyo, KUTISHIA watu MAGEREZA, ni USHAMBA na ULIMBUKENI.

View attachment 2748697
Ujumbe wa kijinga.
 
Kuna ukosoaji na kuna matusi na kejeli. Hata hivyo kumlinganisha ni Magufuli kwa uvumilivu ni uwongo. Mama ana uwezo mkubwa wa uvumilivu
Ile hotuba ya juzi iliyojaa mipasho imedhihirisha kwamba hana ngozi ngumu.
Huko mbele ataanza kuwashughulikia wapinzani kama ilivyokua kwa magufuli.
Time will tell
 
Kuna ukosoaji na kuna matusi na kejeli. Hata hivyo kumlinganisha ni Magufuli kwa uvumilivu ni uwongo. Mama ana uwezo mkubwa wa uvumilivu
We kenge unayefikiri kwa makario muda wote ni chuki dhidi ya shujaa wa Afrika. Pumbavu mkubwa
 
Ile hotuba ya juzi iliyojaa mipasho imedhihirisha kwamba hana ngozi ngumu.
Huko mbele ataanza kuwashughulikia wapinzani kama ilivyokua kwa magufuli.
Time will tell
Huko mbele ndiyo wapi? Kuna tusi gani hawa wapinzania ambalo wamebakiza kutukana?

Kuhusu hotuba yake inayoiita ya "mipasho" basi ile ndiyo silaha yao. Na imewafikia vilivyo
 
I don't know why but huyu jamaa huwa nahisi bado ni mtu wa system.... Nashangaa wapinzani wanaji attach naye sana, he might be the mole in the opposition. Maana aliminywa maslahi yake akiwa kwenye mfumo akakosana nao so simply akirudishiwa maslahi yake anaweza kuplay double agent.

We should be very careful na Hawa moles wa CCM.
Sidhani kama kuna haja yakufwatikia mtu anafanya kazi gani,kwasababu binadamu wanabadilika wakati wowote.Cha msingi kwenye hii dunia hakuna sababu yakuweka imani kwa binadamu yoyote bali angalia anachokisema na kukitenda.Akisema ujinga achana nao akisema cha maana kielewe,akifanya ujinga mpuuzie akifanya cha maana kizingatie.
 
Kwa mujibu wa RIPOTI ya CAG ya mwaka 2020/2021, ni kwamba, MAGEREZA yote Tanzania, YAKIJAA, yanauwezo wa KUBEBA watu 35,000 tu. Uwanja wa MKAPA-DSM, UKIJAA, unaweza KUBEBA watu 60,000. Tanzania ina watu 60 MILIONI. Kwa hiyo, KUTISHIA watu MAGEREZA, ni USHAMBA na ULIMBUKENI.

View attachment 2748697
Sijui Kala maharage ya wapi huyu
 
Wakili huyu kwanini anaandamwa sana na serikali hii? Ana siri gani anazozijua wakihofu kuendelea kuzilipua hadharani hadi wakeshe wakifikiria namna ya kumrejesha gerezani? Kwanini wananchi wasiamini serikali hii imejaa uonevu kwa kutumia kichaka cha demokrasia ambayo ni garasha tupu?

Serikali acheni kumtesa wakili huyu kutokana na madhaifu yenu na watu wenu
Watu hao wanaomtakia mabaya huyu wakili utawakuta wanaswali kila ijumaa, wanafunga, hawali nyama ya nguruwe na wamekwenda kuhiji kutumia pesa za wizi.
 
Hakuna anayeweza kuuza bandari ni uelewa wetu kuwa mdogo na kuwasikiliza sana wanaharakati wenye kupotosha jamii wakiwa na malengo maalum.

Bandari inakodishwa, hii ya Dar inakwenda kuwa na wapangaji wawili DPW na mwingine wa magati namba nane mpaka namba kumi na moja.

Ile ya Tanga inakwenda kuwa na mwendeshaji mmoja, ile ya Bagamoyo inakwenda kuwa na mwendeshaji mwingine.

Haya ni masuala ya kiuchumi yenye kuhitaji mtu kuyatazama kiuchumi, mtu tu layman mwenye uelewa mdogo wa masuala nyeti hawezi kuelewa nini haswa kinachotafutwa.

Tunatoka katika mfumo wa mmiliki wa bandari kuendelea kumiliki yeye kama yeye tunaingia katika mfumo wa Land lord Port ambao mwendeshaji mkuu TPA anakuwa na wapangaji wengine ili kuongeza ufanisi na kurahisisha mzigo mwingi sana uliopo ndani ya Tanzania na nchi zinazotuzunguka kuweza kuyafikia mataifa ya nje haraka.

Kuna tani zaidi ya milioni 30 za mizigo mbalimbali inayotakiwa itoke huko bara na kwenda nje ya nchi, huo ni mzigo mwingi sana na kwa aina ya uendeshaji wa kizamani wa bandari tulionao hakuna nafasi ya kitaifa kuweza kuinuka kiuchumi.

Haya ni masuala ya kiuchumi yenye kutaka ufafanuzi wa kina wa kiuchumi, huu sio wakati wa kufikiria kizamani halafu matokeo ya ufikiriaji huo yawe na mashiko kwenye maisha ya kisasa.
Wewe nawe ulienda shule kweli ? Hakuna anayekataa ubinafishaji wa Bandari, kinacholeta ukakasi ni maudhui ya mkataba wenywe.
 
Proof ya Nini, mbona watu walisema patrobas ni double agent mapema kabisa ila baadae ikawa dhahihiri. Ni muhimu sana chama kujiweka mbali na Hawa moles kutoka TISS hata huyo Mwabukusi wafanye naye kazi ila akiwa huko huko NCCR sio tena aingizwe CHADEMA.

Nimeona hata kina Mwamakula sijui Askofu Maxmillian yaani watu sketchy sketchy wanakaribishwa Hadi jikoni. Lazima chama ki separate mambo ya jamii na harakati za chama. Ni ajabu sana Lissu anaenda ngorongoro alafu anasindikizwa na watu ambao sio wanachama!!

This should stop otherwise tutakuja malizwa kizembe.
Kwani CHADEMA kuna ni cha ajabu huko ? Wote hao walishalambishwa asali tu
 
Back
Top Bottom