Huyo kashanunuliwa Hana jipya. CHADEMA hakuna mambo ya familia. Mtoto wa Mbowe alipigwa Chini kwenye kura za maoni Jimbo la Moshi Mjini 2020.Utawala mbovu alioupenda Msigwa, kawacha utawala mzuri wa kifamilia chadema, au siyo?
Nikusaidie dada yangu, Kitila Mkumbo alihamia CCM akitokea ACT. Naweka kumbukumbu sawa.Ambao Kitila Mkumbo kaufata? Kawacha utawala mzuri wa Mbowe, au siyo?
Nikusaidie dada yangu, Kitila Mkumbo alihamia CCM akitokea ACT. Naweka kumbukumbu sawa.
Kumbe kajamaa kalikuwa kanaandikiwa 😅Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Mnatapatapa sana nyie Machadema shida ni nini?Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Nimejikuta aibu naona mimi kwa niaba yake....Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Nadhani wanataka kuwa mashoga kama maccm.Mnatapatapa sana nyie Machadema shida ni nini?
Aaah kumbe hajatokea hadema kwenda kuanzisha ACT na Zitto?Nikusaidie dada yangu, Kitila Mkumbo alihamia CCM akitokea ACT. Naweka kumbukumbu sawa.
Naona Jamaa kamwandikia hujamtaja mama Samia tutapunguza M100 Kwenye Usajili wakoPeter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Achana nae aaibike hadi kwa mkewe ndio ajue..wanamdhalilisha Msigwa.
..huyu anahitaji kukombolewa.
..Nitaanzisha mchango wa kumkomboa kumsaidia arudishe dau alilolipwa.
Keshapata ulaji huyo.😅Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Very poor Msigwa!
Hakuna kitu kigumu kuelekezwa jinsi ya kula matapishi yako!
Unbeliavable kama huyo ni Msigwa!
Nitamkumbuka aliposema kama sikosei "The insanity keep doing the same then you espect different results?"
Now this time is to join insanity to keep doing the same may be there can be different results!
Mtajuana wenyewe hPeter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Mtajuana wenyewe hakina Sisi tuliachana na chadema wakati Mbowe na genge lake walipoamua kubadilisha gia angani kwa kulamba matapishi yao wenyewe,tokea hapo niliacha kumwamini mwanasisa wa Tanganyika,Slaa aliwaambia kuwa waliamua kuchota mavi chooni na kupeleka sebreni hiyo nyumba haiwezi kukalika kamwe, Sasahivi chadema inamongonyoka taratibu,licha mwanzoni walikuwa wakimsingizia Magufuli kuwa ndiye aliyekuwa ananunua wapinzani.Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Masikini wee,ningekuwa mimi ndo msigwa,ningerudi kuwa mtumishi wa MunguPeter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046